Tatizo halitatuliwi kwa kulikimbia mkuu!!Ni mpumbavu pekee anayekaa sehemu isiyomstahiki, vinginevyo ni mnafiki wa kukosa ubunge
Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka na busara. Amekosa njia za kukisaidia chama mpaka akicriticise publically hivi?Uhuru wa maoni haujalishi chama, ana uhuru wa kutoa yanayomkera
Ni chama kipi Tanzania kinastahimili kukosolewa? Kukosoana kulishakufa tangu enzi Mwalimu alipoacha Urais na uongozi wa CCM.Nyie kila anayewakosoa ana chuki hamtapata independent thinkers mtaendelea kubaki na mizee kina Msekwa milele huku chama kikiwafia mnakiona.
Acheni ushamba, hata leo kuna nepi za Obama '08,nguo za watoto, T-shirts za saizi zote, badges etc...Vipi huyo ameacha hile biashara ya kununua vijana na kuwatumikisha visivyo..?kweli magamba hamnazo alakini wanao wasaport ndio hamnazo kabisa,inaelekea hao mashabiki nao wanapenda upumbavu wanaofanya hao viongozi wao
Huyu dada tangu ameshindwa ktk kura za maoni k'ndoni.Amejenga chuki kali dhidi ya ccm.amekua na tabia za kinafikinafiki na nadhan anajiandaa kwenda upinzani.ila hata ile sifa ya uongozi hana,maadili sufuri.najua hata huko chadema mtamchoka kama shibuda kwa pupa ya kutaka uongozi na umaarufu wa kijinga.hawa ndio mamluki ndani ya ccm haiwezekani ukawa mwana ccm halafu ukaombea chama chako kushindwa.ila dawa yake iko jikoni hatuumizi kichwa msh..zi.
Matusi yako yanaonyesha ulivyo kuwa punguani...kwani uwezi kuchangia hoja hapa JF bila kutukana? Tatizo kuna member wana-join sasa akili zao za kufikiri ni za chini mno....
moja ya wapinzani wakubwa juu ya maoni ya SHYROSE BHANJI MOJA WAPO NI CYPRIAN MUSIBA INGIENI KWENYE WALL YAKE FACEBOOK,ALIVYOMSHAMBULIA SHYROSE BHANJI>
Dada shy-rose kiukweli hastahili kuwa CCM, anajilazimisha tu.Anaweza kuwa mwanasiasa mzuri kwa jamii hata akiwa nje ya CCM,Only that hajiamini
Matusi yako yanaonyesha ulivyo kuwa punguani...kwani uwezi kuchangia hoja hapa JF bila kutukana? Tatizo kuna member wana-join sasa akili zao za kufikiri ni za chini mno....