Huwezi kutambuka kwa kusema wewe chama fulani unachotakiwa wewe ongelea issue tukuelewe.Mimi ni chadema lakini huyu dada kwa tabia yake hii hawezi kuwa a good political material hata akiwa upande wetu. Yeye yuko ccm kwa sasa na ana kila wajibu wa kukisaidia chama chake kifanye vizuri. Hata kama kuna mambo ambayo hayapendi kwenye chama chake lakini siyo busara kucriticize chama chake publically kama anavyofanya facebook. Kwani amekosa forums zingine ndani ya chama kukikosoa chama chake? Hawa watu wa design hii hawafai chama chochote cha siasa....na kama chadema tuko makini....hatupaswi kuwakaribisha watu kama hawa.
Huyu dada tangu ameshindwa ktk kura za maoni k'ndoni.Amejenga chuki kali dhidi ya ccm.amekua na tabia za kinafikinafiki na nadhan anajiandaa kwenda upinzani.ila hata ile sifa ya uongozi hana,maadili sufuri.najua hata huko chadema mtamchoka kama shibuda kwa pupa ya kutaka uongozi na umaarufu wa kijinga.hawa ndio mamluki ndani ya ccm haiwezekani ukawa mwana ccm halafu ukaombea chama chako kushindwa.ila dawa yake iko jikoni hatuumizi kichwa msh..zi.
Mimi ni chadema lakini huyu dada kwa tabia yake hii hawezi kuwa a good political material hata akiwa upande wetu. Yeye yuko ccm kwa sasa na ana kila wajibu wa kukisaidia chama chake kifanye vizuri. Hata kama kuna mambo ambayo hayapendi kwenye chama chake lakini siyo busara kucriticize chama chake publically kama anavyofanya facebook. Kwani amekosa forums zingine ndani ya chama kukikosoa chama chake? Hawa watu wa design hii hawafai chama chochote cha siasa....na kama chadema tuko makini....hatupaswi kuwakaribisha watu kama hawa.
U said it all brodaMimi ni chadema lakini huyu dada kwa tabia yake hii hawezi kuwa a good political material hata akiwa upande wetu. Yeye yuko ccm kwa sasa na ana kila wajibu wa kukisaidia chama chake kifanye vizuri. Hata kama kuna mambo ambayo hayapendi kwenye chama chake lakini siyo busara kucriticize chama chake publically kama anavyofanya facebook. Kwani amekosa forums zingine ndani ya chama kukikosoa chama chake? Hawa watu wa design hii hawafai chama chochote cha siasa....na kama chadema tuko makini....hatupaswi kuwakaribisha watu kama hawa.
Kama Shibuda anavyo utumia uhuru huoUhuru wa maoni haujalishi chama, ana uhuru wa kutoa yanayomkera
Ni mpumbavu pekee anayekaa sehemu isiyomstahiki, vinginevyo ni mnafiki wa kukosa ubunge[/B]
Mtu yeyote makini na anaeipenda nchi yake hatopenda chama anachokipenda kichaguliwe kama hakina uwezo wa kuongoza nchi na kimeprove without any doubt kushindwa kuongoza nchi na kuiletea maendeleo kwa nusu karne.
Mimi ni chadema lakini huyu dada kwa tabia yake hii hawezi kuwa a good political material hata akiwa upande wetu. Yeye yuko ccm kwa sasa na ana kila wajibu wa kukisaidia chama chake kifanye vizuri. Hata kama kuna mambo ambayo hayapendi kwenye chama chake lakini siyo busara kucriticize chama chake publically kama anavyofanya facebook. Kwani amekosa forums zingine ndani ya chama kukikosoa chama chake? Hawa watu wa design hii hawafai chama chochote cha siasa....na kama chadema tuko makini....hatupaswi kuwakaribisha watu kama hawa.
Huyu dada tangu ameshindwa ktk kura za maoni k'ndoni.Amejenga chuki kali dhidi ya ccm.amekua na tabia za kinafikinafiki na nadhan anajiandaa kwenda upinzani.ila hata ile sifa ya uongozi hana,maadili sufuri.najua hata huko chadema mtamchoka kama shibuda kwa pupa ya kutaka uongozi na umaarufu wa kijinga.hawa ndio mamluki ndani ya ccm haiwezekani ukawa mwana ccm halafu ukaombea chama chako kushindwa.ila dawa yake iko jikoni hatuumizi kichwa msh..zi.
NI sawa mkuu, lakini mimi nachelea kuamini hivyo, nahisi atakuwa amekosa forum ndani ya chama. Kwamba wana migongano kiasi kwamba kuna makundi ya kutosha, sasa kundi lenye kula bata sasa hajawapatia nafasi, as a results she is frustrated to the extent she can not hold them any more...
Tuseme wazi kuna matatizo makubwa sana ndani ya CCM, hata huyo dada usidhani anaikosoa CCM kwa mazuri, ni mivutano tu ya kushika mkondo wenye maziwa!!!!
Huyu dada tangu ameshindwa ktk kura za maoni k'ndoni.Amejenga chuki kali dhidi ya ccm.amekua na tabia za kinafikinafiki na nadhan anajiandaa kwenda upinzani.ila hata ile sifa ya uongozi hana,maadili sufuri.najua hata huko chadema mtamchoka kama shibuda kwa pupa ya kutaka uongozi na umaarufu wa kijinga.hawa ndio mamluki ndani ya ccm haiwezekani ukawa mwana ccm halafu ukaombea chama chako kushindwa.ila dawa yake iko jikoni hatuumizi kichwa msh..zi.
Umegonga penyewe kabisa mkuu. Kuhusu kukosa forum ndani ya chama inaweza ikawa kweli. Lakini simuoni huyu dada kama yupo genuine na criticism zake kwa manufaa yetu wapinzani tunaotaka hewa mpya katika uendeshaji wa serikali mbovu . Yeye kwanza ni mbunge tena ubunge wenyewe wa kupewa kupitia chama chake. Mtu genuine wa kukikosoa chama anapaswa kuwa nje ya system ya hicho chama. Hapo ataeleweka. Ni sawa na Nape. Mimi sikuwa namfahamu Nape na siijui historia yake kabisa na kwa kweli sikuwa na sababu yoyoye ya kumpenda au kutompenda. Lakini siku ya kwanza alipoingia kwenye rada zangu nikamsikia anatoa hotuba za kujivua magamba wale watu watatu waovu nikajua huyu nae siyo good political material. Wewe umevaa kijani; unakula hela za magamba; kiongozi wako wa juu kabisa amewekwa na magamba; bado anawatetea; unapata wapi moral authority ya kukemea magamba? Kama ambavyo hakuna sababu yoyote ya kisayansi ya kuridhisha kuwa Nape anaweza kutusaidia sisi wapinzani katika malengo yetu ya kuiondoa CCM madarakani ndivyo ambavyo huyu dada Shy asivyo na manufaa kwetu. Wote ni design moja...watu waliokosa mahesabu ya waseme nini kwa wakati gani na mahala gani kwa sababu ya chuki binafsi dhidi ya adui zao zisizo na malengo ya kumkomboa maskini wa kawaida mtanzania.
Twahil kwa kweli mimi napata shida kuamini kwa ufinyu wako wa mawazo kuwa hata hizi post unaandika mwenyewe kwa sababu mtu anayejua tu kuandika bila elimu ya ziada, can argue better than you!Huyu dada tangu ameshindwa ktk kura za maoni k'ndoni.Amejenga chuki kali dhidi ya ccm.amekua na tabia za kinafikinafiki na nadhan anajiandaa kwenda upinzani.ila hata ile sifa ya uongozi hana,maadili sufuri.najua hata huko chadema mtamchoka kama shibuda kwa pupa ya kutaka uongozi na umaarufu wa kijinga.hawa ndio mamluki ndani ya ccm haiwezekani ukawa mwana ccm halafu ukaombea chama chako kushindwa.ila dawa yake iko jikoni hatuumizi kichwa msh..zi.
For the record mkuuu, dada huyu si mbunge!!!
u said it all broda
kama shibuda anavyo utumia uhuru huo
ni mpumbavu pekee anayekaa sehemu isiyomstahiki, vinginevyo ni mnafiki wa kukosa ubunge
shayrose anabahati magamba kwa sasa kunaangalau kaharufu ka demokrasia, anaachwa achafue magamba wenzake badala kuwa mmoja wao sababu tu alikosa ubunge(angepata asingethubutu kusema asemayo)
angekuwa cdm midaa tundu lisu angekuwa kasha mlima barua siku nyingi
Mie binafsi namponeza kwa juhudi zake za kuwa mkweli na kusimamia kile anacho amini,......sijaona kosa lake kama wengi mnavyomtuhumu,....kwani ni wachache wenye uwezo wa kusimama na kusema ukweli ndani ya chama cha mapinduzi,...!!! Na ikumbukwe si yeye pekee ndio ameanza kosoa chama hiki hadharani ,...turudi nyuma mbona mwalimu baba wa taifa amewahi kuyafanya haya na hakuoneka na waajabu,...bashe je,..mbona na yeye hamsemi,..kuna yule kada wa monduli na yeye vp?????