Fanya wewe basi inavyotakiwa!...ego....
cheap popularity.....
Yote haya unayajua foxy! mbona wewe ni magamba original!
Haya mambo binafsi mkasimuliane na bwanako NEPI
yeye mbona hakuyasema wazi ya kuachana na japharay kwa kuwa alitembea na sugu? Huyu dada anajulikana kwa kuvuta bangi ! Nawashangaaa nmb ndio wamemuweka public relations officer wao mtu wa namna hii. Hii inapunguza hata reputation ya bank infront of public image
Well said Mkandara!....hata mie nilishasema kwenye post namba 2 au namba 3 kuwa huyu binti ni shupavu sana na mpambanaji wa ukweli!. Alafu
yote tisa, kumi huyu dada anamvuto kwa vijana kama wakina Halima mdee,Mnyika,Lema,Sugu nk. Leo ccm wanamuona huyu dada ni mbaya
sana kwakuwa anawaeleza ukweli' lakini siku akitua CDM, am sure magamba wataisoma namba.
Hahahahah! Utamfahamu mtu asiyejua kiingereza anavyoandika maneno ya ajabu! Nimecheka sana leo! HahahahahShy-Rose is a kind of ward-heeler being in politics only to meet her inordinate acquisitiveness for riches. She represents a number of courtesans who exploits the licentiousness of CCM's archons to make gains out it!
ukweli muhimu nakwambia tunahitaji watu kama shy ndani ya vyamashy-rose bhanji "wote mnaojifanya ni makada wa ccm iko siku nitawaumbua tena kwa majina yenu na ushahidi kwamba mnajifanya mnakipenda chama huku mkisema vibaya pembeni...chama chetu kinafanya vibaya kwanini msiseme ukweli hadharani?
Wengine wanadiriki hata kuwa na accnt 2 au 3 kwenye fb, moja wanajidai kusifu na zingiene wanaongelea ukweli kuhusu chama..mnachoogopa ni kipi? Kwa nini hamtaki kuwa majasiri? Au hamjiamini???
Kudadadaikyi"...
Shy-Rose Bhanji "wote mnaojifanya ni makada wa CCM iko siku nitawaumbua tena kwa majina yenu na ushahidi kwamba mnajifanya mnakipenda chama huku mkisema vibaya pembeni...chama chetu kinafanya vibaya kwanini msiseme ukweli hadharani?
Wengine wanadiriki hata kuwa na accnt 2 au 3 kwenye fb, moja wanajidai kusifu na zingiene wanaongelea ukweli kuhusu chama..mnachoogopa ni kipi? kwa nini hamtaki kuwa majasiri? au hamjiamini???
KUDADADAIKYI"...
Dada shupavu kweli ! Nenda CDM tukupe Kinondoni.
Anachosema ni kweli ingawa ukweli ndani ya ccm hauna nafasi iliufanikiwe na ccm inabidi uwe mnafiki, kwan kuwa kashindwa unafiki ataporomoka ndani ya ccm hadi kupotea aangalie mapema maisha yake nje ya ccm. Safi sana