Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Bora ahame tu huku CCM wala haleti faida yeyote.
Hawezi kuhama CCM kwasababu atakosa viposho vya Lowasa kutokana na kumshikashika masaburi baada ya kumnyeshwa Savana.
Bora ahame tu huku CCM wala haleti faida yeyote.
Hayo ni maneno ya mkosaji tu!.....subirini atoke hapo ccm ndiyo mtaisoma namba! siyo siri huyu dada anamvuto kwa vijanaBora ahame tu huku CCM wala haleti faida yeyote.
Ngoja mi nianze kuwataja..! NAPE,NCHEMBA,6,JANUARY MAKAMBA,CHATANDA,KIGWANGALA,BASHE,Hawa wote wapo ccm kimaslah so 2015 watakuwa wapinzan!
Source iko wapi isije ikawa umetumwa tu kumchafua Shy-Rose
Nampa pole sana Shyrose. Ni mambo mengi yamemkumba kwa wakati mmoja, alikopa fedha nyingi sana wakati wa kuwania ubunge, sasa maskini ya mungu inabidi azilipe, Jaffarai nae matumizi yake yalikuwa makubwa, hana msaada kwa bibie. Jamaa wenye mshiko kisha wakorofisha, Sugu kastuka, kaona mnhhh "maji ya shingo". Dahhh. Namhurumia sana Shyrose.
Mama siasa ni mchezo mbaya na mchafu. Kama unaakili timamu kichwani usijiingize kwenye siasa, muulize Mtikila, Mrema, RA, Sitta, Lowassa, Jumbe, Msabaha, Karamagi, Lembeli na wengine kadhaa, watakujulisha habari za siasa. Haiingiwi kichwa kichwa.
Pole sana mdogo wangu. Nakuasa achana na siasa, fanya biashara ndio una asili nayo hiyo.
[h=1]Chama kinacho accelerate at deceleration rate[/h]Raha ni kuwa mwanachama wa chama kinachoshinda...kama haupo CCM, u are in the looserz side
Huyu dada hana maadili kabisa...dawa yake ipo jikoni lakini, soon atavuna alichokipanda
Shy-Rose Bhanji "wote mnaojifanya ni makada wa CCM iko siku nitawaumbua tena kwa majina yenu na ushahidi kwamba mnajifanya mnakipenda chama huku mkisema vibaya pembeni...chama chetu kinafanya vibaya kwanini msiseme ukweli hadharani?
Wengine wanadiriki hata kuwa na accnt 2 au 3 kwenye fb, moja wanajidai kusifu na zingiene wanaongelea ukweli kuhusu chama..mnachoogopa ni kipi? kwa nini hamtaki kuwa majasiri? au hamjiamini???
KUDADADAIKYI"...
Yeye mbona hakuyasema wazi ya kuachana na Japharay kwa kuwa alitembea na Sugu? huyu dada anajulikana kwa kuvuta bangi ! nawashangaaa NMB ndio wamemuweka Public relations officer wao mtu wa namna hii. Hii inapunguza hata reputation ya bank infront of public image
Source iko wapi isije ikawa umetumwa tu kumchafua Shy-Rose
Amekugusa
Wanaopinga kula kiti moto ndo walaji wakuu ,ulikuwa ujuiiiiii.Shy-Rose Bhanji "wote mnaojifanya ni makada wa CCM iko siku nitawaumbua tena kwa majina yenu na ushahidi kwamba mnajifanya mnakipenda chama huku mkisema vibaya pembeni...chama chetu kinafanya vibaya kwanini msiseme ukweli hadharani?
Wengine wanadiriki hata kuwa na accnt 2 au 3 kwenye fb, moja wanajidai kusifu na zingiene wanaongelea ukweli kuhusu chama..mnachoogopa ni kipi? kwa nini hamtaki kuwa majasiri? au hamjiamini???
KUDADADAIKYI"...
haupatani na ukweli green guard.Huyu dada hana maadili kabisa...dawa yake ipo jikoni lakini, soon atavuna alichokipanda
Kadi yako ya CCM ninayo,,, uje kuichukuahaupatani na ukweli green guard.
Ana stress za kulikosa jimbo la kinondoni ..kumwaga na jaffary mshamu.kwanza asijiite mwanaharakati maana sioni uanaharakati wowote..aache kufikiri kwa kutumia masaburi.
Chama kubwa CDM hatutaki MICHARUKO,abaki hukohuko UGAMBANISoon dada atahamia kwenye chama kubwa CDM,ana upeo mkubwa kwa hiyo kuendelea kukaa kwa Magamba ni kama anapwaya