Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Hivi, huu ukamanda unagaiwa kama pipi? Ni vigezo gani vinatumika? Au mtu ukiwa na kaumaruufu tu ndio unapewa?
Halafu wanamcommandeer nani haswa?
Kwa CCM ipi? Hii ya the Noughties? 2000-2010?
Jimbo gani tena mkuu! Halafu hiyo avator yako du!Haya tena, anayeshikilia jimbo husika akae mkao wa mchuano !!
Jimbo husika, iwe Kinondoni au Kawe, mimi siijui mipaka ya majimbo ya Saridalama. Avatar imekuaje mkuu?Jimbo gani tena mkuu! Halafu hiyo avator yako du!
Uko ryt mkuu... hata mimi ningependa kufahamu vigezo kwa kweli........Hivi, huu ukamanda unagaiwa kama pipi? Ni vigezo gani vinatumika? Au mtu ukiwa na kaumaruufu tu ndio unapewa?
Halafu wanamcommandeer nani haswa?
Kwa CCM ipi? Hii ya the Noughties? 2000-2010?
Dah! sasa kama ni mlalahoi sauti ya kujikombea itasikika kweli???????...Moja. Ujuwe kujikomba kwa wenye chama chao! Mbili....endeleeni.
Hongera sana dada, kwani umejipiga promo sana na mambo yalli goma kila wakati , ni vizuri kuanzia hapo maana sas aukokaribu kabisa na watu muhimu , endeleza ndoto zako mama!
Atakaye hachoki akichoka jua keshapata.Hongera mdada.Endelea kidogo kidogo hadi ufike juu!
Ha ha hA!Hivi haiwezekani mtu akajiandalia katafrija kama hivi alafu akaita mtu amsimike?
Wasiwasi wangu ni kwamba wataanza kula mahela yake ya NBC halafu watamla na yeye na huo ubunge ataukosa. sisiemu ina wenyewe bwana||
Huyu mama huwa namwona mwona NMB kwenye kugawa gawa