kelvin_sigwa_1
Member
- Dec 6, 2016
- 41
- 24
Udom ni chuo cha vilaza mm nilixoma nikaacha coz niliona uxengeHi ndiyo mitihani inayotungwa na walimu wa Chuo cha kata UDOM& na walimu waliotokea shule za SEDP!
Udom ni chuo cha vilaza mm nilixoma nikaacha coz niliona uxengeHi ndiyo mitihani inayotungwa na walimu wa Chuo cha kata UDOM& na walimu waliotokea shule za SEDP!
mkulu katupa free tuitumie uku tunaisoma nambavya bure vina gharama mkuu.
ni kweli...pia sisi kama wazazi,tuna wajibu wa kuwalea watoto wetu ktk misingi ya kiimani tangu wangali wadogo...ina faida sana.Tuwaombee sana watoto wetu! Na tuwashirikishe katika maombi na Mafundisho ya M/Mungu huku tukiwasisitizia kuishika sana elimu tuwapayo