Shule za Waislam Dar kufungwa wanafunzi waende kusikiliza kesi ya Sheikh Ponda!

Status
Not open for further replies.
Gazeti la Mwananchi la leo, limemkariri Sheikh Kondo Juma akisema Alhamisi wiki ijayo, shule zote za Kiislamu, Dar, zitafungwa ili kuruhusu wanafunzi kwenda Mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi ya Sheikh Ponda na Ijumaa Waislam wataandamana kwenda Ikulu kushinikiza kuachiwa huru wenzao waliokamatwa.

Haya ndio tunayosema humu ndani, wanaharakati wa Kiislamu wanaona elimu si kitu cha maana. Huku ni kuwatia watoto ujinga, wakifeli wanatafuta mchawi. Tuone Wizara ya Elimu itatoa msimamo gani kwa shule hizo.
hawa wanawashwa sanaaa.. wameyamiss maji ya kuwasha na mabomu ya machozi...
 
Kwa jinsi navyowafahamu, shule zitafungwa halafu zitaanza pilikapilika za kuhakikisha wanafunzi wa kike hawaendi kwenye ngono badala ya kwenye virungu. Masjid Quba, Al Haramain na Kino' Muslim ndio hasa watawapa wakati mgumu kwa kuwa ndani ya mabaibui huwa kuna vimini.

Hizi imani za kulazimishana ni ujinga tu. Nyie fungeni muwaache halafu uone matokeo; Shule hawapo, kwenye mkong'oto hawapo na nyumbani hawapo. Sana sana watawekwa vimada kabisa kwa kuwa wana excuse ya kuwa walikimbia wakaokolewa na msamaria mwema.
Achana nao hao asiyejua maana haambiwi maana.
 
Kama hayo unayosema ni kweli, nampongeza sana sheikh kondo, kwa kuwa waislamu wote ni ndugu. Matatizo/mazuri ya muislamu mmoja ni kwa waislamu wote. Shime waislamu twendeni mahakamani kusilikiza kesi za kizushi zinazomkabili sheikh wote mpendwa Ponda. Inshaalah, allah atatuondoshea dhulma tunazozipata katika nchi hii ya Tanzania.


Kinachonishangaza dhulma dhidi ya Waislam hazipo Tanzania tu. Yemen, Syria na Iran nako waislamu wanalalamika dhulma. Wanakimbilia USA na UK kukwepa dhulma.

Mwanzo tuliambiwa kuwa Ponda ni muhuni tu na tusiuchafue uislamu kwa kuuhusisha nae lkn leo tunaambiwa tena kuwa ni kiongozi wa waislamu na wanaandaa maandamano ya fujo kumtetea. Sasa nachojua mimi shule ya Kinondoni Muslim ni ya BAKWATA sasa sijui BAKWATA na Ponda wameanza lini kuwa dam dam
 
matatizo ya kuzifanya dini kama mama aliyekuzaa ndio hayo. Dini ni kama mke. Unaweza kuibadili, kuiacha, kujitenga au hata kubaki unaitazama tu.

kwa hili ningewashauri waislamu either wasiwe na dini kabisa au wahamie ukristo kwa sababu uislamu haujawahi na wala hautawahi kumsaidia muislamu yeyote zaidi ya kumpotosha na kumharibia maisha
 
May I live to witness that day!

I will record every bit of it, and it will remain in my home library as a lesson to the generations of my family, of the highest degree of stupidity that mankind ever reached in the history of the universe.
 
Huu ni ujinga! Yaani shule ife kwa siku moja ili tukamsikilishe yule mbwiga?? Afu hizo classes za siku watazicompasate lini? Afu wakisto wakitupita tunaanza kulalamika. Us.enge huo!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hii imenikumbusha mama yangu. Hata afe babu, sijui mjomba wakati uko shule wala hautahusishwa. Ukirudi likizo utaambiwa na utaenda kuhani tu!
Natamani kusikia wazazi wao wakihoji. Labda na shule zote nchini wasiende shule waislamu ili kuhakikisha wanaangalia tv na kusikiliza redioni.
 
Nilileta uzi humu ndani kuhusu Bagamoyo Sec. kuwa nako hali si shwari mambo hayahaya ya kidini lakini ukaondolewa na hivi ninavyoaandika humu tayari Bagamoyo Sec. kuanzia jana baadhi ya watoto hawalali ndani ya mabweni kwa kutishiwa kuunguzwa na wenzazo wa kiislamu. Naamini ni mkakati wa kijinga kabisa kuwashirikisha watoto wanaosoma elimu dunia kwenye haya mambo ya kigaidi (siamini uislamu wa kweli kama unakubali huu upuuzi unaofanywa na baadhi ya masheikh)

Kesho matokeo ya secondary yanatoka mnaanza malalamiko oooh, mfumo kristo unatawala wakato watoto mnawalazimisha kushiriki mambo ambayo mbele ya safari hapa duniani hayana maana yoyote.
 
hivi kweli mtu mzima na akili yako utakubali mtoto akose masomo ya siku nzima kwenda kuwasikiliza wajinga mahakamani ambao hawajali mtu yoyote zaidi ya wao wenyewe? aisee mna kazi kweli...kama mambo yenyewe ndo haya
Kama mtu mzima mwenyewe hatujui maana ya shule,unategemea atajali mtoto asipoenda shule.
 
Lazima hiyo alhamisi na ijumaa tufate maelekezo ya Ma-Shekhe wetu na mtaona kama tutapigwa mabomu maana mtetezi wetu yupo amerudi mlitubahatisha tu last week kwa kuwa mkuu hakuwepo lakin muulizeni nchimbi kitimoto alichowekwa maana alitaka kuidhalilisha dini inayoongoza serikali yenu
Akili za kialshabab bure kabisa, nchi hii imefika hapa kwa ajili ya kuongozwa na huyo dhaifu wenu, next time itabidi tufikiri mara mbili mbili aina ya rais wa kutuongoza
 
Kama hayo unayosema ni kweli, nampongeza sana sheikh kondo, kwa kuwa waislamu wote ni ndugu. Matatizo/mazuri ya muislamu mmoja ni kwa waislamu wote. Shime waislamu twendeni mahakamani kusilikiza kesi za kizushi zinazomkabili sheikh wote mpendwa Ponda. Inshaalah, allah atatuondoshea dhulma tunazozipata katika nchi hii ya Tanzania.


tanzania without islams i think its abetter place to stay hakuna tofauti ya aliyeelimika na mkaa kijiweni shame on you and your religion of war agriiiii andamaneni mtaona cha mtemakuni
 
"Hawa si waislamu ni wahuni tu maana muislamu wa kweli hawezi kuchoma kanisa na kuiba ekaristi" Ni maneno ya waziri wa mambo ya ndani mh Nchimbi akijaribu kuwapumbaza wadangaanyika kuhusiana na kadhia ya baadhi ya ndugu zetu walio patwa na mihemko mara baada ya kitabu kitakatifu kunajisiwa. Siku zote ukweli lazima utaja julikana tu sasa sijui hawa wanaopanga kuandamana ni wahuni! Tutarajie mwendelezo wa tamthilia hii kutoka kwa mh mwingine maaana wao kama asili yao hupokezana vijiti
 
Gazeti la Mwananchi la leo, limemkariri Sheikh Kondo Juma akisema Alhamisi wiki ijayo, shule zote za Kiislamu, Dar, zitafungwa ili kuruhusu wanafunzi kwenda Mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi ya Sheikh Ponda na Ijumaa Waislam wataandamana kwenda Ikulu kushinikiza kuachiwa huru wenzao waliokamatwa.

Haya ndio tunayosema humu ndani, wanaharakati wa Kiislamu wanaona elimu si kitu cha maana. Huku ni kuwatia watoto ujinga, wakifeli wanatafuta mchawi. Tuone Wizara ya Elimu itatoa msimamo gani kwa shule hizo.

Nawakumbusha waombe kibali cha maandamano yao ili waandamane kwa amani. Ila hakuna atakaye kubali maandamano hayo kuishia ikulu, labda sehemu nyingine. Kwa sababu za kiusalama tu na hamna lingine.
 
sidhani kama hayo ni ya kweli na kama kweli msemaji alikusudia hilo liloadikwa lakini ikwa ndio hivyo basi si sahihi,
lakini ni lini tutaacha huu uchokozi wa kijinga uso na maana hali tunajua madhara ya tunayoyachokoza,
tukumbuke neema ya kila jambo utaijua pale unapoikosa hebu tusifike huko bana amani ni kitu adhimu mno tusiicheze kiivyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom