Shule za vipaji maalum kidato cha tano

user037

Senior Member
Dec 25, 2015
113
120
Ni vigezo gan hutumika kuwapanga wanafunzi wa kidato cha tano kwenye shule za vipaji kama Ilboru, Mzumbe, Kibaha etc. Kwa yeyote anayefaham tafadhal naomba unifahamishe.
Natanguliza shukran.
 
Vigezo wanasemaga ni ufaulu mzuri kwa Combination uliyochagua kusomea.

N.B: Hivi unafikiri hizo shule zina tofuiti na Pugu au Minaki, zaidi zaidi ukiondoa watu waliowekwa hapo hamna tofauti yoyote.
 
vipaji maalum hiyo sera imebaki jina..hizo shule za kawaida sana na wanafunzi wengi wanaopelekwa huko ni wa kawaida mno.uwezo wa kipaji maalum umebaki kwa msomaji mwenyewe na wala sio shule
 
vipaji maalum hiyo sera imebaki jina..hizo shule za kawaida sana na wanafunzi wengi wanaopelekwa huko ni wa kawaida mno.uwezo wa kipaji maalum umebaki kwa msomaji mwenyewe na wala sio shule
ULISOMAGA WAPI WEWE MKUU HAHAHAHAAA?
 
azania ilikuwa kipaji ila sio kipaji maalumu lakini kilichotokea ACSEE2016 umeshuhudia.
 
AZANIA HAIJAWAHI LUA SPECIAL. special boys ni nne tu Ilboru,Kibaha,Tabora na Mzumbe .. na kismiri imeongezwa miaka hii, azania wanachkua mpk div3
 
wewe unawezaje kusema Azania shule ya vipaji maalum kwanza tenganisha o-level na a-level shule za vipaji maalum ni kama iliboru,mzumbe na tabora ni kwanchi nzima iyo azania ni kwa o-level shule ya kimwee tu
 
Nadhani wanaselect wanafunzi waliofaulu vizuri sana
But hakuna utofauti elimu ya Tanzania ni ile ile....!
 
AZANIA HAIJAWAHI LUA SPECIAL. special boys ni nne tu Ilboru,Kibaha,Tabora na Mzumbe .. na kismiri imeongezwa miaka hii, azania wanachkua mpk div3
Upo dunia gani wewe!!!.....hata tabora wanachukua...mwanafunzi wangu kaenda pale.....nadhani amemaliza chuo mwaka huu...fatilia
 
Upo dunia gani wewe!!!.....hata tabora wanachukua...mwanafunzi wangu kaenda pale.....nadhani amemaliza chuo mwaka huu...fatilia
Labda combie ya Arts
Science hawez kwenda na points chini ya 5 kwenye combination
 
Mtihani ni mbinu.

Hakuna vipaji kwa 100% pale kwani wapo wanaofaulu kwa kutumia bench la ufundi.
 
Huo ndo ukweli
Kinachozungumziwa hapo ni perfomance za wanafunzi na wala si kuwa zina silabasi zao. Elimu ile ile huku zero kule Div one ndio tofauti hiyo yaani wenye uwezo mkubwa ndio wanachaguliwa kipaji.
 
Nadhani wanaselect wanafunzi waliofaulu vizuri sana
But hakuna utofauti elimu ya Tanzania ni ile ile....!
Kinachozungumziwa hapo ni perfomance za wanafunzi na wala si kuwa zina silabasi zao. Elimu ile ile huku zero kule Div one ndio tofauti hiyo yaani wenye uwezo mkubwa ndio wanachaguliwa kipaji.
 
Back
Top Bottom