Tosha
Member
- Aug 18, 2011
- 72
- 19
Wanajamvini naomba ushauri juu ya shule nzuri ya bweni ambayo inapokea na ina darasa la wanafunzi wanaorudia mitihani ya kidato cha nne kama watahiniwa wa kujitegemea(Private Candidate) au re-sitters!
Najua Jitegemee Secondary walikuwa na darasa kam hilo japo wao ni day halikadhalika Makongo Secondary,hata hivyo nimeangalia kwenye matokeo ya form four lakini sijaona matokeo yao ya Private Candidates katika shule hizi!
Naomba ushauri kama unaijua shule yenye walimu na mazingira mazuri ambayo ina darasa la re-sitters na kama ina kituo cha kufanyia mitihani na mwisho ikiwa ni ya bweni ni nzuri zaidi! Tafadhari naomba ushauri juu ya jambo hili!
Najua Jitegemee Secondary walikuwa na darasa kam hilo japo wao ni day halikadhalika Makongo Secondary,hata hivyo nimeangalia kwenye matokeo ya form four lakini sijaona matokeo yao ya Private Candidates katika shule hizi!
Naomba ushauri kama unaijua shule yenye walimu na mazingira mazuri ambayo ina darasa la re-sitters na kama ina kituo cha kufanyia mitihani na mwisho ikiwa ni ya bweni ni nzuri zaidi! Tafadhari naomba ushauri juu ya jambo hili!