Mwalimu mmoja wa shule ya vichaa aliandaa practical kwa ajili ya wanafunzi wake(vichaa). Practical yenyewe ilimtaka kila kichaa aigize tendo lolote ambalo huwa anafanya kuku katika maisha ya kila siku. Wanafunzi wengine walianza kuwika,wengine kuparua mchanga nakadhalika, isipokuwa chizi mmoja akabaki amechuchumaa bila kufanya tendo lolote. Basi mwl alihisi chizi huyo ameshapona uchizi, akamsogelea kisha akamuuliza "wewe mbona hufanyi kama wenzako?" yule chizi akamjibu kwa kujiamini "wewe mwl mpumbavu nini, ina maana huoni kwamba mimi NATAGA?" ama kweli kufundisha vichaa needs a heart.