Mie nime google nimepata hizi picha tuu
View attachment 168438
View attachment 168439
Sent from my iPad using JamiiForums
Mbona hata Tosamaganga ina mandhari ya hivi tu
Ingekuwa vipi shule zetu za kata zingekuwa na mijengo kama hii!!!? Nafikiri pia hata nia ya kununua madawati ingekuwepo!!!