Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Nimeuliza..Kwani kafanya nini?
Ufisadi gani?
....kwani unafikiri kafanya nini?
Nimeuliza..Kwani kafanya nini?
Ufisadi gani?
Nimeuliza..
....kwani unafikiri kafanya nini?
niliuliza sikusema kuwa ni fisadi..Huyu tumuiteje fisadi ama kiongozi bora?
Kwani kafanya nini?
Ufisadi gani?
bado tu unaniwekea maneno.....nani kasema mkono fisadi?Umeuliza huyu Mkono "tumuiteje fisadi ama kiongozi bora"?
Na mimi nasema, kwa sababu wewe una wonder whether jamaa ni fisadi, labda eleza, kafanya nini?
Nini kilichokufanya ku wonder whether Mkono ni fisadi?
Umeuliza huyu Mkono "tumuiteje fisadi ama kiongozi bora"?
Na mimi nasema, kwa sababu wewe una wonder whether jamaa ni fisadi, labda eleza, kafanya nini?
Nini kilichokufanya ku wonder whether Mkono ni fisadi?
Correction. Mkono ndio most succesiful lawyer in TZ in terms of money. Waliosoma naye darasani was an avarage student. Baada ya kupata LL.B hakufanya masters ya sheria.(sorry the omission)
Kwa mengine yote, samahani.
Swali la msingi, je ni kweli hiyo shule kajenga Mkono?? kama kweli fwedha katoa wapi? Acha ligi za kitoto......
Not impressed by the drawings! Sidhani kama imejengwa bali inakusudiwa kujengwa.
Amandla..........
Huyo Kuhani mbona kamshikia bendera sana huyu Mkono?
mpe hongeni zake huyu mzee kwa kutumia elimu yake na fedha zake kwa manufaa ya wananchi walio maskini.
El Chapo,
Wewe ni foot soldier wa kawaida au umepanda cheo kama Fundi Utumbo nakuwa capo?? Si haba, una nidhamu ya hali ya juu.....LOL
Muombe Kuhani atakusaidia......mnaendesha mijadala kama cartel flani hivi!!
Huyu jamaa kajitahidi.. sasa kwa nini Chenge akapeleka 'vile visenti' New Jersey Islands, asijenga hata shule ya sekondari kule Tabora?