shule ya msingi kambarage ilyopo wilayani serengeti ina miezi mitatu tangu ifungwe eti kwa sababu halimashauri haina milioni tano.Hii ni aibu ya miaka hamsini ya uhuru.
Mwenge wa uhuru unatumia mamilioni ya shilingi kuwamulikia mafisadi lakini za kujenga choo zinakosa.
Watoto wamesimamishwa masomo na muda hausubiri lini mitaala itaisha?
Mwenge wa uhuru unatumia mamilioni ya shilingi kuwamulikia mafisadi lakini za kujenga choo zinakosa.
Watoto wamesimamishwa masomo na muda hausubiri lini mitaala itaisha?