Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
mkuu mimi cio mtoto tena ningekuwa kijijini sasa hivi ningekuwa karibu na watoto watatuhumu ndani tuna watoto kumbe?
mkuu mimi cio mtoto tena ningekuwa kijijini sasa hivi ningekuwa karibu na watoto watatuhumu ndani tuna watoto kumbe?
we mtoto bana!au kwa vile una uwezo wa ku-pees?mbona ku-pees ishu ndogo tu hata panzi anaweza?mkuu mimi cio mtoto tena ningekuwa kijijini sasa hivi ningekuwa karibu na watoto watatu
duh yaani chekechea ulianza 1991?
[/QUOTE
ndio..ila usiulize nilianza na miaka mingapi tu
Itakuwa ulianza na miaka 7 au 8 uongo????
duh yaani chekechea ulianza 1991?
mkuu umri cio tatizo bana tatizo ni vyeti ambavyo si fekiwe mtoto bana!au kwa vile una uwezo wa ku-pees?mbona ku-pees ishu ndogo tu hata panzi anaweza?
wewe mwaka 91 uko chekechea?we mtoto bana
Safari ya kusoma siku hizi imekuwa rahisi sana, enzi zile za Juma na Roza na Kibanga ampiga mkoloni. Wakati huo Calculator haziruhusiwi, tulikuwa tunatumia "FOUR FIGURE" kwenye kufanyia calculations zote, Physics, Chemistry, Biology, Mathematics na masomo yote ya kukokotoa na kudadavua kwa kutumia tarakimu. Hapo ndiyo shule ilikuwa ngumu.
Kwanza shule ni chake, halafu ipo KM10 toka nyumbani na unatakiwa kuwahi namba saa moja kasorobo asubuhi. Kiranja alikuwa anaruhusiwa kukutandika viboko na ukigoma akikushitaki kwa mwalimu unapata twice ya alitaka kukutandika kilanja.
Ukifika chuo kikuu, mambo ya semester yalikuwa hakuna ni "TERM" tatu kila moja ina University Examination at least tano na kila moja CA ya at least three tests na homework mbili. Ukikamatwa UE tatu au zaidi unasubiri Disco kwenye final display, watu walikuwa wana-disco kabla ya mwaka kuisha.
mkuu huwezi kuwa mzee .kwani mzee mugabe ana miaka mingapi?Dang, watu wanatufanya tujione wazee sasa.
duh!! hii sasa kiboko .salute mkuuMkuu kula TANO, umenikumbusha mbali sana, wakati huo hata form SIX, no Calculator, sasa wewe hebu fikiria li hesabu la kwenye mechanics ulifanye kwa Four Figure table! mwe! Sehemu zingine hata hizo FFT hazikuwepo, ilibidi tutumie SLIDE RULES, sijui kama vijana wa siku hizi wanazifahamu. Hizi ndio basis ya current(modern) Turing machines na Computers.
hapa ninapoongelea shule simaanishi tu yale mambo ya darasani namaanisha kila kitu kuanzia boksi halafu watu waliopo bongo wanajua we ushatoka mwingine anakuomba umtumie tiketi naye aibuke nadhani wakuu wengi mlioexperince mtakuwa mnanipataungeniambia BOKSI gumu/zito ningeelewa!
hapa ninapoongelea shule simaanishi tu yale mambo ya darasani namaanisha kila kitu kuanzia boksi halafu watu waliopo bongo wanajua we ushatoka nadhani mwingine anakuomba umtumie tiketi naye aibuke nadhani wakuu wengi mlioexperince mtakuwa mnanipata
Niliposoma Nyani <abizaini> nikadhani ni version nyingine ya niliyemzowea, halafu nilipoona post yako hii ndipo nikajua kuwa huyu ni dizaini nyingine tu.duh yaani chekechea ulianza 1991?
jamani GT member hivi shule ni ngumu kwangu tu au hata nyinyi mnaondelea na mliomaliza ??
nilianza chekechea mwaka 1991...nikaendaaa darasa la saba nikaliua mwaka 1999..nikajiunga na form one boarding. sasa huku ndio nilikutana na mambo kwanza kuwaoshea vyombo form two (i mean form 2 hadi six.nadhani mliosoma boarding mnanipata haswa ila tukio ambayo sitayasahau ni siku ambayo niliwekewa kiatu kinachonuka mdomoni nikaambiwa nipige simu nyumbani huyu jamaa siwezi kumsahau.ila haya yote yalipita nikaingia form six boarding hapa maisha yalikuwa mazuri.story za chuo kikuu zikawa zinanipa hamasa ya kusoma nikajua kuwa maisha huko yatakuwa kama kumsukuma mlevi vile.nikafanikiwa kujiunga hehe .mambo si mambo tena .........................hadi kivuli kinakabwa huku. halafu kitu kingine watu wanajua ushatoka.sijui mambo gani mlikutana nayo wenzangu ktk hii safari...
jamani GT member hivi shule ni ngumu kwangu tu au hata nyinyi mnaondelea na mliomaliza ??
nilianza chekechea mwaka 1991...nikaendaaa darasa la saba nikaliua mwaka 1999..nikajiunga na form one boarding. sasa huku ndio nilikutana na mambo kwanza kuwaoshea vyombo form two (i mean form 2 hadi six.nadhani mliosoma boarding mnanipata haswa ila tukio ambayo sitayasahau ni siku ambayo niliwekewa kiatu kinachonuka mdomoni nikaambiwa nipige simu nyumbani huyu jamaa siwezi kumsahau.ila haya yote yalipita nikaingia form six boarding hapa maisha yalikuwa mazuri.story za chuo kikuu zikawa zinanipa hamasa ya kusoma nikajua kuwa maisha huko yatakuwa kama kumsukuma mlevi vile.nikafanikiwa kujiunga hehe .mambo si mambo tena .........................hadi kivuli kinakabwa huku. halafu kitu kingine watu wanajua ushatoka.sijui mambo gani mlikutana nayo wenzangu ktk hii safari...
mkuu sio siasa ila siasa ndio inainterfia life letu la kila siku hivo huwezi kuiescapeKama shule kwako ni ngumu, basi jaribu ujinga. Hakuna kwenye urahisi bwana. Huo ugumu unaouona wewe wenzako wanautafuta. Piga shule bwana mdogo, acha siasa.
duh yaani chekechea ulianza 1991?[/QUOTE
ndio..ila usiulize nilianza na miaka mingapi tu
Napenda kukujulisha (bila hata ya kujua una imiaka mingapi) ili hadi usimame mbele ya watu waliokwenda 'shule' unahitaji miaka mingine isiyopungua sita ya kazi ngumu ya kukoroga vitabu. Hapo ulipo shule ni cha mtoto...kaza buti utafika