Shule hii ipo Kisalawe mkoani Pwani, ina vibari vyote muhimu na ina eneo la ukubwa wa hekari 15, tayari madarasa 2 yamejengwa yapo katika hatua za mwisho kabisa . mnunuzi atamalizia ujenzi wa hayo madarasa na kuongeza mengine kama atakavyopenda. nyumba ya mlinzi imejengwa na imekamilika na mlinzi anaishi hapo. maji na umeme hayapo ila huduma hizi tayari zimefika eneo hilo. mfano eneo hili linapakana na Chuo Cha Maendeleo upande wa kulia na kushoto linapakana na Lutherani mission taasisi hizo 2 zina huduma ya maji na umeme. hivyo mnunuzi atavuta umeme kutoka sehemu mojawapo. Bei yake ni Tsh 75m. kwa aliyetayari tuwasiliane
(0657 14 5555, 0755 099 291 na 0686 200 117. Akiri)
(0657 14 5555, 0755 099 291 na 0686 200 117. Akiri)