Shukurani Kutoka kwa Mtambuzi kwa wana Jamii Forum.

Cantalisia will keep updating us on how u are progressing if we wont manage to come personally. Get well soon and forgive some of us for not visiting u sooner.

Mkuu, dunia inakimbia ajabu, pamoja na kupata ajali lakini maisha ni lazima yaendelee............. nawashukuru sana kwa ukaribu wenu kwangu
 
Pole zote zikufikie,usijali ndo changangamoto za maisha!
 
...kaka, pole sana...nimefurahi kukusoma tena,
tupo pamoja kwenye kukuombea dua upone haraka.
 
Hakika tulishamtanguliza MUNGU baada ya habari ku2fikia ile morning na naweza kusema ni matunda ya Imani ye2 imekuweka hewani,cna mengi ya kukwambia ila tunategemea utakuwa fit kadri siku inavyojongea Mtambuzi. Uwe na wakati mzuri kamanda!
 
Kama mlivyopata taarifa kutoka kwa mwana JF mwenzetu Cantalisa.
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia na kuwekewa vyuma alhamisi tarehe 27 usiku na kuruhusiwa jumamosi tarehe 29Octoba.
Tarehe 2 Novemba nimewekewa POP ambapo nitakuwa nje ya kazi kwa muda wa mwezi mmoja. Kwakuwa natumia mkono wa kushoto itakua ngumu kuonekana mtandaoni lakini nitajitahidi japo mara moja moja.
Shukhrani ziwaendee Cantalisa kwa kuwahabarisha wana JF na kufuatilia kwa karibu matibabu yangu pale hospitali. Pia Mwita Maranya kwakuja kunitembelea na wengine wote waliotoa pole zao na kuniombea nipone haraka kupitia mtandaoni. Sina chakuwalipa ila Mungu mwenyezi atawalipa.
Ahsanteni Sana
Mtambuzi
Get Well Soon Man!!
 
Kama mlivyopata taarifa kutoka kwa mwana JF mwenzetu Cantalisa.
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia na kuwekewa vyuma alhamisi tarehe 27 usiku na kuruhusiwa jumamosi tarehe 29Octoba.
Tarehe 2 Novemba nimewekewa POP ambapo nitakuwa nje ya kazi kwa muda wa mwezi mmoja. Kwakuwa natumia mkono wa kushoto itakua ngumu kuonekana mtandaoni lakini nitajitahidi japo mara moja moja.
Shukhrani ziwaendee Cantalisa kwa kuwahabarisha wana JF na kufuatilia kwa karibu matibabu yangu pale hospitali. Pia Mwita Maranya kwakuja kunitembelea na wengine wote waliotoa pole zao na kuniombea nipone haraka kupitia mtandaoni. Sina chakuwalipa ila Mungu mwenyezi atawalipa.
Ahsanteni Sana
Mtambuzi

Mtambuzi,

Tunakuombea kila la kheri kwa Mungu, upate uponyaji haraka na kurejelea shughuli zako za kila siku kama kawaida. Tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom