sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 644
pole sana.
Cantalisia will keep updating us on how u are progressing if we wont manage to come personally. Get well soon and forgive some of us for not visiting u sooner.
pole sana mkuu
nakumbuka aliyeleta hiyo habari alikuita baba!ni kweli mkuu?
Get Well Soon Man!!Kama mlivyopata taarifa kutoka kwa mwana JF mwenzetu Cantalisa.
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia na kuwekewa vyuma alhamisi tarehe 27 usiku na kuruhusiwa jumamosi tarehe 29Octoba.
Tarehe 2 Novemba nimewekewa POP ambapo nitakuwa nje ya kazi kwa muda wa mwezi mmoja. Kwakuwa natumia mkono wa kushoto itakua ngumu kuonekana mtandaoni lakini nitajitahidi japo mara moja moja.
Shukhrani ziwaendee Cantalisa kwa kuwahabarisha wana JF na kufuatilia kwa karibu matibabu yangu pale hospitali. Pia Mwita Maranya kwakuja kunitembelea na wengine wote waliotoa pole zao na kuniombea nipone haraka kupitia mtandaoni. Sina chakuwalipa ila Mungu mwenyezi atawalipa.
Ahsanteni Sana
Mtambuzi
Kama mlivyopata taarifa kutoka kwa mwana JF mwenzetu Cantalisa.
Nilipata ajali kwa kugongwa na gari tarehe 25 Octoba na kulazwa katika hospitali ya regency. Nilifanyiwa upasuaji wa mkono wa kulia na kuwekewa vyuma alhamisi tarehe 27 usiku na kuruhusiwa jumamosi tarehe 29Octoba.
Tarehe 2 Novemba nimewekewa POP ambapo nitakuwa nje ya kazi kwa muda wa mwezi mmoja. Kwakuwa natumia mkono wa kushoto itakua ngumu kuonekana mtandaoni lakini nitajitahidi japo mara moja moja.
Shukhrani ziwaendee Cantalisa kwa kuwahabarisha wana JF na kufuatilia kwa karibu matibabu yangu pale hospitali. Pia Mwita Maranya kwakuja kunitembelea na wengine wote waliotoa pole zao na kuniombea nipone haraka kupitia mtandaoni. Sina chakuwalipa ila Mungu mwenyezi atawalipa.
Ahsanteni Sana
Mtambuzi