thx dear najua ni nafasi mlikosa but next time ukiskia kukutana tafadhali fika maana u neva knw unakosa mambo mazuri sanaaaaaaaa
pesa zilizopatkana cash ni laki moja,makofi kwetu tafadhali,watu tuliokutana ni 6,ww ulisema utatoa sh ngapi?kuna predg ya elfu hamsini na elfu 15,nimetoka kuongea na mwanakijiji just now kasema ananitumia no ya huyo mwakilishi huku ili niweze kumpa so far tunaomba muwakilishe hizo pesa mlio predg ili nikabidi tafadhali,una lingine?
tunaomba minutes,na taarifa zilizokuwa katika format nzuri na inayoeleweka FOR OUR RECORDS!
tunaomba attendace pia
Kwa kifupi kuku tuliokula pale walikuwa watamu sana (courtesy of Pearl, thanks Pearl)! Geoff next time jitahidi utie timu mzee!!
Kiwango cha chini kuchangia ni shs ngapi?
thx dear najua ni nafasi mlikosa but next time ukiskia kukutana tafadhali fika maana u neva knw unakosa mambo mazuri sanaaaaaaaa
aje kwa ajili ya mchango au kula kuku watamu?
Kiwango cha chini ni Tshs. 5,000 (elfu tano tu) na hakuna kiwango cha juu...unaweza kutoa kiashi chochote kile kilicho ndani uwezo wako!
Tunaomba pledge yako tafadhali!
vyote!!!
satsfied!....pesa zilizopatkana cash ni laki moja,makofi kwetu tafadhali,watu tuliokutana ni 6,ww ulisema utatoa sh ngapi?kuna predg ya elfu hamsini na elfu 15,nimetoka kuongea na mwanakijiji just now kasema ananitumia no ya huyo mwakilishi huku ili niweze kumpa so far tunaomba muwakilishe hizo pesa mlio predg ili nikabidi tafadhali,una lingine?
Tunaruhusiwa kupledge hata material? Kwa mfano nikitaka kuchangia mabati, mchele, mablanketi au hata kreti la bia?
vyoteeeeeeeeeeeeeeeee,kima cha chini 25 but unaweza kuongea jimsi unavyoguswa
Masaki na Pearl hebu tuwekeni sawa hapa: Kima cha chini ni elfu tano au elfu ishirini na tano?