Habari za kazi Wana JF wenzangu,
Nilifiwa na Mama yangu mzazi tarehe 26/06/2011 na mazishi kufanyika tarehe 29/06/2011, niliondoka kwenda nyumbani (mkoani) tarehe 27/06/2011 kuwahi mazishi bila kutoa taarifa hapa JF. Hatahivyo, nachukua fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa Wana JF, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote waliokuwa pamoja nami kwa hali na mali wakati wa kipindi kigumu na kuniwezesha kuwahi mazishi. Tulimaliza matanga tarehe o4/07/2011 na nimerudi eneo langu la kazi.
Nilifiwa na Mama yangu mzazi tarehe 26/06/2011 na mazishi kufanyika tarehe 29/06/2011, niliondoka kwenda nyumbani (mkoani) tarehe 27/06/2011 kuwahi mazishi bila kutoa taarifa hapa JF. Hatahivyo, nachukua fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa Wana JF, Ndugu, Jamaa na Marafiki wote waliokuwa pamoja nami kwa hali na mali wakati wa kipindi kigumu na kuniwezesha kuwahi mazishi. Tulimaliza matanga tarehe o4/07/2011 na nimerudi eneo langu la kazi.