Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Mimi nimelisoma tangu nakala ya kwanza hadi leo sijawahi kukosa nakala hata moja. Ni ajabu ninazo nakala nyingi sana za mwanzo za mwanahalisi katika kumbu kumbu yangu nyumbani kwangu. Na nitaendelea kulisoma kama halitatekwa na mafisadi wa ccm. Ndilo gazeti pekee ninalojua kuwa halifungamani na vyama vyenu bali liko huru na linatoa ukweli kama ulivyo. Huwezi kukuta limebaki kwenye kaunta za wauza magazeti.kumbe saidi kubenea ni mkereketwa wa chadema!!! Silisomi tena gazeti la mwanahalisi maana litakuwa upande wa chadema tu badala ya kuandika hakika!!!!