Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
niliona kama ulibeep asubuhi
DA mama
Wewe ni mwalimu wa nini nije kupata "kikombe"??
:lol:
ni kweli, mara moja tu nikalala mbele. Sikugeuka nyuma tena.
Yale ya siku ile niliyokuf...... ndo na yeye yameleta haya yote mpaka nimeogopa
Na niliona kuna mtu kataka kuchafua hali ya hewa. Msamehe bure
Eimen!
ps: nilikuwa natania tu Mestod.
Dena,hapo kwenye red mmmmmmhhhhhhh!!!!!!!!!!!
Kyabushaija,nilitaka nikupige thanks,lakini icon ya 'thanks'naona imeota mbawa.
Dena chochote unachofundisha nami nataka kuwa mwanafunzi wako lol!Mie ndo kabisa nimerefresh page lakini haijarudi kabisa hiyo icon ya thanks
Dena chochote unachofundisha nami nataka kuwa mwanafunzi wako lol!
Nifanyie mtihani basi ili uhakiki.Karibu mpendwa ila wewe hapa sijui maana nona kama uko overqualified vile
Nini kinaendelea hapa???? DA ( Ndo umeamua kumfanya hivi shemeji???Kua msiri basi mama!! )
Nifanyie mtihani basi ili uhakiki.