Shukrani za dhati.

Thomas Juma

Member
Nov 9, 2010
88
17
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.

Pole sana Mr. Thomas Mungu akujalie upone kidonda upesi ili tuje tuendelee kuijenga Tanzania.
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.
Pole sana mkuu TJ, Mwenyezi Mungu atakupa nafuu, upone haraka.
 
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.
pole sana najua utakuwa na maumivu na ahsante kwa kutujulisha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom