Thomas Juma
Member
- Nov 9, 2010
- 88
- 17
Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote mlionisaidia ushauri pamoja na wale mlionisaidia link ya Riwa na Laura kuhusu haemorrhoids kwani nimefanyiwa operation alhamisi ya tarehe 16/06/011 na sasa naendelea vizuri japokuwa bado naendelea kuuguza kidonda.Jamani sina cha kuwapa ila napenda sana kusema ahsanteni sana kwa msaada wenu.