Sirlower Masaga
New Member
- Mar 8, 2010
- 1
- 0
karibu sana......umekuja na pw?...
teh teh teh:smile-big:Mtu akisema shukran kwa mwariko wewe unatakiwa kusema Kalibu sana
umekuja na PesaWewe?karibu sana......umekuja na pw?...
nina mawili kwako.Napenda kuwashukuru wana jamii kunikaribisha kwenye jumuiya hii iliyo makini, pia nikiwa Kijana ninayependelea Kufatilia na kutafiti mambo ya Kisiasa,kiuchumi na Burudani nitumie fursa hii
kuwataarifu wanajamii wote kuwa nipo tayari kushirikiana nao
View attachment 15943