Kambiaso
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 145
- 120
Ni mwaka na miezi kadhaa nilikua mtaaani bila kazi ila kwa msaada mkubwa wa JF kupitia categori ya Kazi na Tenda nmeweza kuona job adds ambazo nyng nmekua nikituma na hatimaye nmefanikiwa kupata job baada ya kufanyiwa interview for accountant post kampuni ya Sao Hil Iringa June 29,nmeanza kazi this month,shukrani sana JF.