Alakara Armamasitai
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 481
- 133
huyu atakuwa sterling wa guest tu eti anakuambiya alikuwa hajui madai ya madaktari halafu bado unajiita rais huu si uchizi?
True once again. Ni ideas gani za kisiasa ambazo zimekuvutia sana wewe na kwanini? Au labda idea za watu gani ambazo zimejenga sana mwelekeo wako wa kifikra?
Mwanakijiji nafikiri thread yako imekuwa captured na Kiranga, umemkubalia hoja yake bila ubishi. Je huoni kwamba ukisoma contribution yake na ya kwako zinakinzana, ulipokuwa unasema shujaa huanza na filamu na kulaumu anapotokea mwishoni ulikuwa unamaanisha nini? Hujajibu ila naona kama umekubali thread yako kuwa very low kama ilivyokwishasemwa na mchangiaji mmojawapo humu!