Shujaa anapotokea mwisho wa filamu

Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM
Mzee Mwanakijiji,
Katika sinema karibu zote za Hostage taking, shujaa huwa yule aliyemaliza mgogoro japokuwa Acadamy winner wa perfomance anaweza kushinda mtu mbaya. Kuna sinema ya Danzel na pia Samuel Jackson zote zinaonyesha Hostage taking ktk hospital na wana sababu za maana kabisa kiasi kwamba wakaitwa mashujaa lakini behind the scene ushajaa wao haukumalizika vizuri isipokuwa yule aloweza kumaliza mgogoro wao...Hakuna sinema nzuri isiyiokuwa na maafa zaidi, we tend to love movie kwa ushenzi uliomo na sio hekima inayotumika...

Katika mgogo huu wa madaktari hukuniona wala hutaniona mimi nikiwapongeza Madaktari wala JK. Wengi hapa JF mlimpongeza JK kwa kumaliza mgogoro lakini ajabu ni kwamba pongezi hizo zikawa withdrawn kwa sababu tu hakuzungumza mlichokitaka...Binafsi yangu tatizo la huduma ya Afya nchini ni sugu na linahitaji sii tu mgawanyo wa fedha (keki ya Taifa) au allocation bali mfumo mzima kuvunjwa..Hili nyote mnalikimbia japokuwa mnajua fika ndio msingi wa matatizo yote.

Na inasikitisha sana kuona kwamba sisi Watanzania we never learned through mistakes ambazo zilitangulia kuondolewa kwa Lowassa, Msabah, Karamagi, Nyoni na leo tunataka Mponda na Nkya ili hali tunajua fika kwamba vita yetu ni UFISADI - na serikali haiwezi kuacha wala kupunguza matumizi yake ili kuboresha vyanzo vya huduma zetu iwe maji, umeme, afya, elimu na hata ukusanyaji wakodi na kadhalika. SERA za chama CCM ni chukua chako mapema sasa tukitaka kubadilisha sera hizo ziwe kwa kila mtu kwa nafasi yake... Then, nyote kwa ujumla wenu hamuitakii mema nchi yetu.
 
kwakweli sijawahi kusikia filamu ya namna hiyo, lakini kwa tz inawezekana, ila kwa mara ya kwanza nimesikia kwa masikio yangu na nimeona kwa macho yangu msanii akiimba wimbo usioeleweka, nimeshindwa kujua kama ni hip hop, rnb, bongofleva, bolingo, rege, taarabu, au ngonjera, ni wimbo ambao hauna kanuni yeyoye ya nyimbo au ushairi unaofahamika, wimbo uliokosa biti huku msanii wa wimbo huo akijichekesha mara kwa mara na waimbaji wengine wanaomsindikiza na kibwagizo cha kuzomea na kushangilia..''waaambieeee, waeleze hao................'' aisee inasikitisha,


na hawa hapa chini ndo walikuwa waitikiaji wakubwa wa kibwagizo cha wimbo wa msanii huyo.


nawaonea wivu mnaoweza kumuangalia na kumsikiliza, mimi nashindwa na ndo maana nimemsamehe!
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM

Mwanakijiji; Nimeipenda sana post yako
 
ndiyo maana hata hivi leo mwl.nyerere wanamuhisabu kama ni sterling wa nchi.kutokana na maneno yako, basi hata yeye hastahiki kuitwa sterling kwani hata yeye hakuwepo mwanzoni mwafilamu.
Matokeo ya uchaguzi arumeru:
Ccm-70%
cdm-25%, others-5%
hakuna nguvu ya uma wala nguvu ya kijiko.
ni kweli mkuu huyu kuna nguvu ya vijisent tuuu, lowasa kwenda mbele!
Magamba bwana!
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM

Concept nzima ya "shujaa" imekaa ki drama drama zaidi na haina nafasi katika watu walio objective kwa sababu imejengeka katika "cult of personality" kama mambo ya "Juche" na "Zidumu fikra za Mwenyekiti". Ndizo tunazozikimbia concept kama hizi. Habari za mtu mmoja Rambo anapigana na jeshi zima zilifurahisha utotoni lakini zinatakiwa ziachwe utotoni.

Habari za baba Nyerere ndiye masiha wetu zilifurahisha tulipofungiwa kizani lakini leo tumeona ushujaa wote una mapungufu makubwa, na kila mtu ni shujaa kivyake, kwa hiyo ushujaa unakuwa overblown.

Huyo huyo JFK anayeonekana ana akili sana kwa kuandika "Profiles in Courage" na kuwapeleka Wamarekani mwezini anakuja kujulikana kwamba ni philanderer tu na kitabu kaandikiwa na Ted Sorensen.

Huyo huyo Nyerere aliyeonekana egalitarian na mtu wa kujivunia nchi yake dakika ya mwisho hata hakufia nchini mwake kwa sababu huduma za afya mbovu, kapelekwa St. Thomas.

Hata yesu angekuwapo leo angelaumiwa na animal rights activists kwa kuwatupa nguruwe mtoni bila sababu.

Ushujaa is overblown!

Tukitaka maendeleo tuondokane na dramatics za kutafuta mashujaa na tuangalie ideas.
 
Concept nzima ya "shujaa" imekaa ki drama drama zaidi na haina nafasi katika watu walio objective kwa sababu imejengeka katika "cult of personality" kama mambo ya "Juche" na "Zidumu fikra za Mwenyekiti". Ndizo tunazozikimbia concept kama hizi. Habari za mtu mmoja Rambo anapigana na jeshi zima zilifurahisha utotoni lakini zinatakiwa ziachwe utotoni.

Habari za baba Nyerere ndiye masiha wetu zilifurahisha tulipofungiwa kizani lakini leo tumeona ushujaa wote una mapungufu makubwa, na kila mtu ni shujaa kivyake, kwa hiyo ushujaa unakuwa overblown.

Huyo huyo JFK anayeonekana ana akili sana kwa kuandika "Profiles in Courage" na kuwapeleka Wamarekani mwezini anakuja kujulikana kwamba ni philanderer tu na kitabu kaandikiwa na Ted Sorensen.

Huyo huyo Nyerere aliyeonekana egalitarian na mtu wa kujivunia nchi yake dakika ya mwisho hata hakufia nchini mwake kwa sababu huduma za afya mbovu, kapelekwa St. Thomas.

Hata yesu angekuwapo leo angelaumiwa na animal rights activists kwa kuwatupa nguruwe mtoni bila sababu.

Ushujaa is overblown!

Tukitaka maendeleo tuondokane na dramatics za kutafuta mashujaa na tuangalie ideas.

Nimeipenda hiyo ya red
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM

Kaka nimekuvulia kofia naweza bashiri unamuongelea JK na ishu ya Madaktari
 
This I don't agree maana mwisho utasema tunakiuka haki za binadamu kwa ku'deny' gay rights

Underlying point hapa ni kwamba habari nzima ya "ushujaa" ni flimsy na subjective. Shujaa nani kama kila mtu yuko questionable? Huyo Yesu wengine wanasema kafa msalabani na kufufuka, wengine wanasema hakufufuka.

Let's talk ideas and not personalities. Siasa za Afrika haziwezi kuendelea mpaka tutakapoacha kutafuta mashujaa na kujikita katika ideologies.
 
Concept nzima ya "shujaa" imekaa ki drama drama zaidi na haina nafasi katika watu walio objective kwa sababu imejengeka katika "cult of personality" kama mambo ya "Juche" na "Zidumu fikra za Mwenyekiti". Ndizo tunazozikimbia concept kama hizi. Habari za mtu mmoja Rambo anapigana na jeshi zima zilifurahisha utotoni lakini zinatakiwa ziachwe utotoni.

Habari za baba Nyerere ndiye masiha wetu zilifurahisha tulipofungiwa kizani lakini leo tumeona ushujaa wote una mapungufu makubwa, na kila mtu ni shujaa kivyake, kwa hiyo ushujaa unakuwa overblown.

Huyo huyo JFK anayeonekana ana akili sana kwa kuandika "Profiles in Courage" na kuwapeleka Wamarekani mwezini anakuja kujulikana kwamba ni philanderer tu na kitabu kaandikiwa na Ted Sorensen.

Huyo huyo Nyerere aliyeonekana egalitarian na mtu wa kujivunia nchi yake dakika ya mwisho hata hakufia nchini mwake kwa sababu huduma za afya mbovu, kapelekwa St. Thomas.

Hata yesu angekuwapo leo angelaumiwa na animal rights activists kwa kuwatupa nguruwe mtoni bila sababu.

Ushujaa is overblown!

Tukitaka maendeleo tuondokane na dramatics za kutafuta mashujaa na tuangalie ideas.

You are probably very very right. Jamii haiitaji mashujaa kwa kweli kwani ni kuanza kutengeneza cult ya mashujaa. Karibu jamii zote duniani hazijajengwa na mashujaa au kuzungukwa na mashujaa kati yao. Ni kuondokana na hii dhana ndio watu wanaweza kugeuka wao wenyewe mashujaa.
 
Mwanakijiji, ukiendelea hivi utaishilia kusoma maandishi yako wewe mwenyewe, peke yako. Hivi ulitaka Mheshimiwa Rais itokeze hatua gani. Wewe inaonekana ngazi za utawala huzielewi. Kuna watendaji wenye uwezo wa kutatuwa matatizo ya kweli na walihusika ngazi zote hadi kufikia Mheshimiwa Waziri Mkuu. Rais wa aina ya mawazo yako ambaye atavurumuka kutatuwa matatizo ya kila wizara kabla wenyewe hawajashindwa hakuna na wala hatatokea Tanzania na duniani kote.
 
Mwanakijiji ukiendelea hivi utaishilia kusoma maandishi yako wewe mwenyewe, peke yako. Hivi ulitaka Mheshimiwa Rais itokeze hatua gani. Wewe inaonekana ngazi za utawala huzielewi. Kuna watendaji wenye uwezo wa kutatuwa matatizo ya kweli na walihusika ngazi zote hadi kufikia Mheshimiwa Waziri Mkuu. Rais wa aina ya mawazo yako ambaye atavurumuka kutatuwa matatizo ya kila wizara kabla wenyewe hawajashindwa hakuna na wala hatatokea Tanzania na duniani kote.
 
Hizo ni attributes za shujaa wa nchi zingine lakini siyo Tanzania. Hapa mashujaa wetu wanaibuka baada ya maneno THE END kutokea na cha kushangaza zaidi hata watazamaji wa movie wanamshangilia kuliko maelezo.
 
Mmmmh kumbe we MM hii muvie hujaweza kuzitofautisha uzuri; ujue muvie hii sterling alikua mtoto na hapo baba alikua ndo master wake sasa baada ya kuzidiwa sterling, master akaibuka na kuja kuimalizia muvie mwishon na kuonyesha mitechnqs afu kama ilivyo kwa muvie kama ya Jack Chan hupenda kuonyesha namna alivyokua anafarakana ktk kueka uhalisia wa ile muvie ikiwa pamoja na trials nyingi hata zilokua zamshinda na baadaye kufanikiwa sasa hiyo ndo inaendana na muvie hiyo sasa!!
 
Shujaa wa namna hiyo ni "msanii"....anaetaka sifa za watu waliokwisha kuvuja jasho!
Kwa wavivu wa kuwaza na kufikiri watamsifu kwa ushujaa wake huku wakitokwa na povu midomoni!
 
Mkuu MMM,

JK ni Commander in Chief. Katika vita CIC ama CDF huwa hawaendi kwenye uwanja wa vita bali huwatuma wapiganaji na makamanda wao ili hali wao wakiwa wanapanga mbinu za vita. Huwa pia wanasaidia katika logistics huku wakiwa mbali kabisa na uwanja wa vita. Lakini mwishowe Commander in Chief ndiye hutangaza mwisho wa vita na kuwaaambia watu wake jinsi adui alivyoshambuliwa hadi akashindwa!

Kama kamanda angeenda siku ya mwanzo tu ya vita ambapo wapiganaji wa adui walikuwa na munkari na morali ya kupigana na hamadi Kamanda akapigwa pigo moja takatifu si mwisho wa vita ungekuwa mbaya mno? Ukipigana lazima uwe na silaha ya mwisho ambao unaificha na unakuja kutumika mwishooni ukiwa unakaribia kuishiwa nguvu.

JK alituma makamanda wake vita ikawashinda akaamua kutumia silaha ya mwisho; RAIS. Asingefanikiwa kuwashawishi madaktari kurudi kazini sijui tungekuwa na hali gani sasa kwa kuwa Sterling angekuwa ameuawa.
 
Underlying point hapa ni kwamba habari nzima ya "ushujaa" ni flimsy na subjective. Shujaa nani kama kila mtu yuko questionable? Huyo Yesu wengine wanasema kafa msalabani na kufufuka, wengine wanasema hakufufuka.

Let's talk ideas and not personalities. Siasa za Afrika haziwezi kuendelea mpaka tutakapoacha kutafuta mashujaa na kujikita katika ideologies.

True once again. Ni ideas gani za kisiasa ambazo zimekuvutia sana wewe na kwanini? Au labda idea za watu gani ambazo zimejenga sana mwelekeo wako wa kifikra?
 
Back
Top Bottom