Shujaa anapotokea mwisho wa filamu

Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM

Well said MMM, I wish hii tafsiri waTZ wote wangeielewa vizuri hata mhusika mkuu wa hii muvi, wacheza muvi na wote wanaoingalia hii muvi...
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM
Na shujaa huwa hana papara. Na mara zote hajitokezi mwanzoni. Huyu huwa anakwenda kumaliza kazi.
Vivement JK
 
Reality si michezo ya kuigiza. Nna uhakika hili unalifahamu sana, au unaishi kwenye dunia ya kuigiza?
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM


Mzee Mwakijiji, ukweli huwa nafurahia sana thread zako ila kwa sasa sijui kwa nini naona kiasi unatoa mifano ambayo sio dhahiri sana. Shujaa katika thread hii najua unamaanisha ni Mkapa, yaani katokea late sana kupinga zile shutuma za mambo ya kifisadi. Mi nafikiri ungekuja na mfano mwingine, kwa sababu mfano wa film sio sahihi sana hapa. Goliathi kwa mfano, alipigwa na jiwe la kombeo tu, tena na mtoto (Daudi) ambaye watu hawakutarajia. Huyo hakuwepo katika orodha ya wanajeshi waliokuwa wakitambuliwa katika jeshi la nchi hiyo, hakuanza na na mwanzo wa picha lakini akaibuka shujaa. tumeona wachezaji wengi tu wa mpira wanatoka benchi zikiwa zimebaki dk 10 ama 15 na wanaibuka mashujaa kwa kuzifungia timu zao. Kubadilisha mtazamo wa watu hakuchukui muda mrefu, ni sekunde tu. Hata kama Mkapa ameamua kupinga leo shutuma ambazo zimekuwa zikimwandama kwa siku nyingi zilizopita, anaweza akaeleweka tu, inatokana tu na hadhira iliyopo mbele yake. Binadamu ni kiumbe wa ajabu, hayupo kama wewe unavyofikiri siku zote mkubwa wangu Mwanakijiji!
 
Wacha kusema uwongo,hakuna aliyekunywa juice,alikunywa sterling tu

8E9U2768.JPG

Hapa huyo mnafiki magamba umemuumbua eti walienda kunywa juice
 
Mzee Mwakijiji, ukweli huwa nafurahia sana thread zako ila kwa sasa sijui kwa nini naona kiasi unatoa mifano ambayo sio dhahiri sana. Shujaa katika thread hii najua unamaanisha ni Mkapa, yaani katokea late sana kupinga zile shutuma za mambo ya kifisadi. Mi nafikiri ungekuja na mfano mwingine, kwa sababu mfano wa film sio sahihi sana hapa. Goliathi kwa mfano, alipigwa na jiwe la kombeo tu, tena na mtoto (Daudi) ambaye watu hawakutarajia. Huyo hakuwepo katika orodha ya wanajeshi waliokuwa wakitambuliwa katika jeshi la nchi hiyo, hakuanza na na mwanzo wa picha lakini akaibuka shujaa. tumeona wachezaji wengi tu wa mpira wanatoka benchi zikiwa zimebaki dk 10 ama 15 na wanaibuka mashujaa kwa kuzifungia timu zao. Kubadilisha mtazamo wa watu hakuchukui muda mrefu, ni sekunde tu. Hata kama Mkapa ameamua kupinga leo shutuma ambazo zimekuwa zikimwandama kwa siku nyingi zilizopita, anaweza akaeleweka tu, inatokana tu na hadhira iliyopo mbele yake. Binadamu ni kiumbe wa ajabu, hayupo kama wewe unavyofikiri siku zote mkubwa wangu Mwanakijiji!

Total washout!!
 
shujaa anayetaka umaarufu kwa kufahamika kwa kukwepa majukumu yake hujitokeza namna hiyo.invisible character during action and visible character at the end of action.

ALUTA CONTINUA.
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM

Shujaa huyo pakacha na matenga....
 
Mzee Mwakijiji, ukweli huwa nafurahia sana thread zako ila kwa sasa sijui kwa nini naona kiasi unatoa mifano ambayo sio dhahiri sana. Shujaa katika thread hii najua unamaanisha ni Mkapa, yaani katokea late sana kupinga zile shutuma za mambo ya kifisadi. Mi nafikiri ungekuja na mfano mwingine, kwa sababu mfano wa film sio sahihi sana hapa. Goliathi kwa mfano, alipigwa na jiwe la kombeo tu, tena na mtoto (Daudi) ambaye watu hawakutarajia. Huyo hakuwepo katika orodha ya wanajeshi waliokuwa wakitambuliwa katika jeshi la nchi hiyo, hakuanza na na mwanzo wa picha lakini akaibuka shujaa. tumeona wachezaji wengi tu wa mpira wanatoka benchi zikiwa zimebaki dk 10 ama 15 na wanaibuka mashujaa kwa kuzifungia timu zao. Kubadilisha mtazamo wa watu hakuchukui muda mrefu, ni sekunde tu. Hata kama Mkapa ameamua kupinga leo shutuma ambazo zimekuwa zikimwandama kwa siku nyingi zilizopita, anaweza akaeleweka tu, inatokana tu na hadhira iliyopo mbele yake. Binadamu ni kiumbe wa ajabu, hayupo kama wewe unavyofikiri siku zote mkubwa wangu Mwanakijiji!

Sidhani kama anamaanisha ni Mkapa... Mpe mji kama umeshindwa kuvumbua hilo
 
Mzee Mwakijiji, ukweli huwa nafurahia sana thread zako ila kwa sasa sijui kwa nini naona kiasi unatoa mifano ambayo sio dhahiri sana. Shujaa katika thread hii najua unamaanisha ni Mkapa, yaani katokea late sana kupinga zile shutuma za mambo ya kifisadi. Mi nafikiri ungekuja na mfano mwingine, kwa sababu mfano wa film sio sahihi sana hapa. Goliathi kwa mfano, alipigwa na jiwe la kombeo tu, tena na mtoto (Daudi) ambaye watu hawakutarajia. Huyo hakuwepo katika orodha ya wanajeshi waliokuwa wakitambuliwa katika jeshi la nchi hiyo, hakuanza na na mwanzo wa picha lakini akaibuka shujaa. tumeona wachezaji wengi tu wa mpira wanatoka benchi zikiwa zimebaki dk 10 ama 15 na wanaibuka mashujaa kwa kuzifungia timu zao. Kubadilisha mtazamo wa watu hakuchukui muda mrefu, ni sekunde tu. Hata kama Mkapa ameamua kupinga leo shutuma ambazo zimekuwa zikimwandama kwa siku nyingi zilizopita, anaweza akaeleweka tu, inatokana tu na hadhira iliyopo mbele yake. Binadamu ni kiumbe wa ajabu, hayupo kama wewe unavyofikiri siku zote mkubwa wangu Mwanakijiji!

Avanti nadhani ushujaa wa BWM si ktk kujisafisha kwake bali mimi naona ni ktk kutaka kuwaaminisha eti yuko tayari kuwasemea wananchi wa Arumeru Mashariki kwa JK kwa shida zao za kukosa ardhi kbu zimemilikiwa na matajiri wakubwa na wanachi wakakosa ardhi na wanahangaika.... Na kbu MMM hajataka kusema huyu shujaa ni JK, au BWM au EL, au yeyote... mimi nataka kumsemea BWM.

Hivi yeye si ndo alikuwa rais wa nchi hii yetu for ten (10) years na haya yote matatizo ya ardhi yakitokea si alikuwa kiongozi hadi akamaliza wakati wake ndo ajifanye anauwezo wa kutusemea wanachi kwa JK na hasa hadi angojee kuzindua kampeni za uchaguzi!!!!!!??????? Kwani hata kabla alikuwa wapi kutusemea na akaja sasa kwenye kampeni kusema tumetatua namna hii??

Hivi bado sisi wananchi ni wa kudanganyika kiasi hicho kuwa ataenda kutusemea kwa JK kwani naye JK ina maana hayajui matatizo yetu wanachi??? Bado hajui kwanini wananchi watanzania ni masikini?? Hivi BWM ni hadi lini ajifanye ana huruma wakati tunajua kuwa ni rais aliyeleta sera za ukandamizaji za ubinafsishaji za kupora ardhi na madini yetu na kuwakabidhi wageni kwa bei za kutupwa?? Na pengine naye amejiuzia kiwira kwa bei ya kutupwa??? Leo ndo huyu awe shujaa wakati amemaliza wakati wake wa uongozi...

Wakati umefika viongozi wetu waache kutuchokoza kwanachi kwa kutueleza mambo yanayoumiza moyoni. Tuliambiwa tumwache mzee apumzike... Lakini yeye mwenyewe hataki kuachwa apumzike anafanya vitu vya uchokozi na kujifanya yeye ni wa CCM tu wakati ni mstaafu wa urais ambaye ni wa watanzania wote.

Viongozi wasutufanye sisi majuha na hatujui nini kina endelea. Hatutaki ahadi zisizotekelezeka tunataka waje na utendaji halisi...angalia kule Busanda ahadi za umeme... angalia Igunga... Tarime...n.k kumetolewa ahadi nyingi wakati wa by elections Je wametekeleza>>>>????? MMM mimi nimechagua huyo shujaa aliyejifanya kutokea mwisho wa filamu awe BWM, wengine mnaweza msemea JK mbapo pia ni sawa tuuuu!!! au hata wengine...
 
...mmm! hapa inaonekana shujaa nae alikuwa upande wa watazamaji,akashtuka movie imesha na yeye ndo akajitokeza...
Inanikumbusha kwenye soccer kuna watu huwa wanafunga magoli tunayo yaita ya kuvizia, anakuwepo uwanjani kama hayupo mara mnashtukia anacheka na nyavu. Mnajiuliza dah kumbe alikuwepo!!??
 
Kwa kawaida - na karibu mara zote - shujaa wa kwenye filamu hauawi. Hata apitie matatizo kiasi gani tunajua kuwa mwisho wa siku shujaa wetu ataendelea kuwepo. Ndio maana ya ule msemo wa "sterling hauawi". Lakini kuna kitu kingine ambacho ni kweli pia, shujaa hatokei mwisho wa movie! Hata kama atachelewa kidogo kutokea lakini mara moja tutatambulishwa kuwa huyu ni shujaa wetu na toka mwanzo tutamuona anvyopambana na mgogoro. Fikiria shows kama 24 au filamu kama za Rambo, n.k

Sasa inakuwaje kwenye filamu uangalie hadi mwisho hadi kisa kimekwisha halafu shujaa anatokea? Fikiria kuwa umeangalia movie nzima na matukio yote muhimu yametokea na filamu imeshaandikwa "the end" halafu credits zina roll down halafu shujaa anatokea na kuanza kuelezea jinsi ambavyo angeweza kupambana na maadui au jinsi gani maadui walivyoshindwa! Kwanza itabidi ujiulize kama ni shujaa kweli na kama ni shujaa basi unajiuliza ni shujaa wa kitu gani!

Nilichojifunza ni kuwa shujaa hatokei mwisho wa filamu kupewa sifa!

MMM
kidogo ngumu mkuu kuelewa :crazy:
 
Huyo anaietokea mwisho wa filamu sio shujaa ni mnusurika au labda sina kiswahili fasaha ni "survivor" havezi kua shujaa atakua survivor aliyeokolewa na shujaa mwingine ambaye amekua kwene matukio toka mwanzo. hapana shaka basi hiyo filamu haina shujaa na hivyo tunasema haijakamilika na director alifariki kbla ya kuimalizia na asipatikane mwingine wa kufanya hivyo. itakua ni igizo la kitoto sio filamu na waigizaji hawana mwongozo sahihi utakaoleta mtiririko wa kimantiki. hivyo mwanzo kati na mwisho hakuna uhusiano. blaah blaaah tu. filamu sio filamu,igizo sio igizo na hakuna shujaa. anayejidhania ni shujaa ajue hadhira inamuona mdandiaji na kituko asiyejua maana na uhusika wake.
 
Kumbukeni Mwanakijiji naye ni mwanaharakati, sidhani kama hii muvi iliishia pale walipotegemea, labda episode nyingine inakuja!
 
Back
Top Bottom