Show ya Lema vs Pinda featuring Makinda

Leo kati pita pita zangu hapa Arusha nimegundua watu wanafatilia Bunge kupitia radio zao....
 
Tatizo viongozi wa TZ wanakubali kudanganywa na Spika angetumia busara hili lisingefikia hapo. Nchi nyingi vurughu huanzia ktk issue kama hizi zinapokuwa miss handled. Mi ningekuwa spika nisingeruhusu mjadala huo ili si watu wazima tujue tayari kosa lilikuwepo, ningesema tu ushahidi utapitia na kamati ya uongozi ya spika na hatua zitachukuliwa kulingana na ushauri utakaotolewa. kwisha. Akinga'ang'ania najua hii itakuwa aibu ya mwaka kwani inaonyesha alipewa taarifa za uongo na yeye kuzitolea majibu hivo hivo japo kiungwana na yeye hata spika wangesema swali hilo kwa kuwa kuna kesi mahakamani bunge kulizungumzia linaweza kutafsiriwa kuwa mhimili huu unaingilia uhuru wa mahakama. Hapo wangeepusha shari na Lema asingesiamama kuomba muongozo wa spika. Mambo mengine ndugu zangu ni busara si kukurupuka kama sika alivofanya........bado Spika wa Bunge wa Bunge lilipita Mh Sita atakumbukwa na wao CCM watamkumbuka kwani daluili ninazoziona Makinda ataichimbia kaburi CCM....TUSUBIRI TUONI YANGU MACHO WAKUU
 
ngeleja anaambiwa alidanganya wana nyang"wale umeme 2009 kwa kupitisha malori ya tanesco bila umeme
 
Tupeni mambo wakuu, naamini leo Mh. Spika Anne Makinda leo anaelekea kufanya kosa lake la kwanza kubwa toka akabidhiwe cheo hicho!!
 
Leo kati pita pita zangu hapa Arusha nimegundua watu wanafatilia Bunge kupitia radio zao....

... Na wajiandae kumsapoti mbunge wao kwa njia inayoeelweka kwa matokeo yeyote yatakayotokea... wao ndio wenye ushahidi wa kweli zaidi..na wao ndio wanajua njia nzuri zaidi ya kufikisha ujumbe ...kama mbunge wao hataeleweka mbele ya Makinda!!
 
Zitto anawarekebisha manaibu mawaziri wanapojibu maswali wasiwaite wabunge dadazao, kakazao, rafiki yangu wa karibu,.....Suala la Lema kwa sasa halipo. Labda jioni au limepotezewa?
 
Cdm walishasema wanauthibitisho hawakuhudhuria kikao cha kwanza cha baraza la madiwani ambacho hufanyika mara baada ya kula kiapo ambapo waliambatanidha orodha ya mahudhuri ya tarehe 17 na 18 ambapo waliosaini ni madiwani wa ccm 16 siku inayofuata ndio aliongezeka 1 wa tlp kivuyo , ambapo jumla ya wajumbe wa baraza hilo ni 31 hivyo akidi ni 21 ambayo haikutimia .
 
Currently:
Zitto asema kuitana dadangu, ndugu yangi, mdogo wangu, n.k ni uvunjaji wa kanuni za bunge. wabunge na mawaziri waitane kwa vyeo vyao au majina yao halisi.
Spika -amuunga mkono.
 
Mkuu what more shall I say, the title is self explanatory that 'Pinda atachomokaje kwa ushahidi kama huu'? I know nothing about the validity of this ushahidi, I am simply telling CDM members to go foward with this evidence and take action based on this evidence, WHY??

1. Mpaka sasa vurugu za Arusha kwa mtu mwenye akili TIMAMU kila kosa linawaangukia chadema, uki-refer same caseiliyotokea HAI
2. Mpaka sasa CDM fans wengi wao wamekuwa dragged na kutofahamu maana ya siasa na wanasiasa wamewabatiza ufalme na ukuu wote, they are blind in such a way HAWAJUI SIASA, wanasiasa kwao ni madaktari!!! what a joke! , wengi ni mazezeta fulani kushoto twende, kulia twende.. nao wanaoenda, anapokuja mtu na ushaidi kama huu then tunataka CDM ijisafishe kwa kuchukua hatua kali juu ya Pinda otherwise, Pinda was right, Makinda was right, na Lema hakuwa sahihi!! sitaki kuamini kuwa Pinda alikuwa sahihi!!

Ikishindikana hapo, then CDM members wengi ni ticking bomb! hawako tayari kuinyoshea vidole CDM yao kwa makosa yao, swa kabisa na member wa CCM ambao hawaelewi wala kuambiwa baya la CCM, ikifikia hatua hii sisi watazamaji tunasema ' see robots in CCM and those in CDM'!! is wastage of time, kazi ya ukombozi inakuwa kuwaokoa baadhi ya fans wa CDM na baadhi ya fans wa CCM, sitaki ku-conclude kuwa miafrika ndivyo ilivyo, unakaa pembeni na kuchoka kabisa na kusema is this change we need!!! if is this change we need then we have big problem, umenielewa

Hata Egypt kulikuwa na watu kama wewe ambao hawakuamini kuwa utawala wa kidikteta wa Mobarak utaangushwa. Walioandamana hawakujali nani atachukua nchi baada ya Hosni, walitaka aondoka. Nadhani mimi na wengine tunataka ccm iondoke, who will take over, that is a question we can discuss later. CDM inawezekana sio chama makini unavyotaka wewe, but kimeleta tumaini jipya, na kama sio cdm, ccm ingeshakufanya wewe bibi yake. cdm imepunguza kasi mpya na ari mpya ya ccm, and we have to applaude them for doing that to all tanzanias

There is no doubt in my mind kuwa Pinda alilitumia bunge vibaya kuleta propaganda, he is too tired kufanya independent review na kujiridhisha kuwa hakuna uongo. unatarajia IGP mwema ampe PM ripoti ya kumgandamiza yeye IGP na je upande wa pili wa shilingi uliangaliwa? Katika maelezo yake hakusema kuwa alikutana na chadema kujua upande wao, so it is possible kuwa maelezo aliyotoa bungeni ni ya upande mmoja, na hakubother kuangalia upande wa pili. Kiongozi wa jinsi hiyo ni hatari na hafai!
 
Inafuata kauli ya Waziri wa Maji. Programu ya maji vijijini. Siasa tu. Miradi mingi ya maji vijijini imekufa!
 
Back
Top Bottom