LEmma
Kawithdraw ushahidi wake hatauta tena:A S thumbs_down::A S thumbs_down:
we vipi?
Leo kati pita pita zangu hapa Arusha nimegundua watu wanafatilia Bunge kupitia radio zao....
lemma atawakilisha hoja yake offisin kwa speaker
lemma atawakilisha hoja yake offisin kwa speaker
MS acha hizo, toa taarifa inayojitosheleza! Lema hakuambiwa apeleke taarifa offcn au vipi? Sasa inakuwaje anaipeleka huko?
Mkuu what more shall I say, the title is self explanatory that 'Pinda atachomokaje kwa ushahidi kama huu'? I know nothing about the validity of this ushahidi, I am simply telling CDM members to go foward with this evidence and take action based on this evidence, WHY??
1. Mpaka sasa vurugu za Arusha kwa mtu mwenye akili TIMAMU kila kosa linawaangukia chadema, uki-refer same caseiliyotokea HAI
2. Mpaka sasa CDM fans wengi wao wamekuwa dragged na kutofahamu maana ya siasa na wanasiasa wamewabatiza ufalme na ukuu wote, they are blind in such a way HAWAJUI SIASA, wanasiasa kwao ni madaktari!!! what a joke! , wengi ni mazezeta fulani kushoto twende, kulia twende.. nao wanaoenda, anapokuja mtu na ushaidi kama huu then tunataka CDM ijisafishe kwa kuchukua hatua kali juu ya Pinda otherwise, Pinda was right, Makinda was right, na Lema hakuwa sahihi!! sitaki kuamini kuwa Pinda alikuwa sahihi!!
Ikishindikana hapo, then CDM members wengi ni ticking bomb! hawako tayari kuinyoshea vidole CDM yao kwa makosa yao, swa kabisa na member wa CCM ambao hawaelewi wala kuambiwa baya la CCM, ikifikia hatua hii sisi watazamaji tunasema ' see robots in CCM and those in CDM'!! is wastage of time, kazi ya ukombozi inakuwa kuwaokoa baadhi ya fans wa CDM na baadhi ya fans wa CCM, sitaki ku-conclude kuwa miafrika ndivyo ilivyo, unakaa pembeni na kuchoka kabisa na kusema is this change we need!!! if is this change we need then we have big problem, umenielewa