Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Mimi naona kama utetezi ndo umeegemea kwa Marry mtashindwa vibaya, Hebu tupeni defination ya neno mkazi, kabla hamjaenda mbali. Ili mtu awe mkazi inambidi awe ameishi maeneo hayo kwa kipindi kipi? je neno mkazi lilotumiwa hapo linahusiano gani na mkazi kwa maana ya mimi mtanzania na mkazi foreigner utofauti wake upo vipi?
Kanuni za ubunnge mkazi ni yule anayekuwa kwenye eneo kwa muda usiopungua miaka mitano kabla ya uchaguzi husika. hizi ndo kumbukumbu zangu za hiyo kanuni!
Naamini na Chatanda alikuwa mkazi wa Arusha kwa huo umri!