Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Nampongeza sana uyu mwanamziki kwa kujituma sana,na hana mpinzani kwa sasa,show yake atakayopiga Bukoba Tarehe 30,Bukoba mjini,Muleba na Karagwe kwa hizo siku mbili amelipwa Million 30.
Pia nakubali hoja yake nje awalipi sana kama show za nyumban Tanzania,wanamuziki wengine wanaoenda kupiga show nje ulipwa dolla 2000 lakin jamaa ameona bora apige show za apa apa Tanzania,kutokana na malipo mazuri,hongera sana
Pia nakubali hoja yake nje awalipi sana kama show za nyumban Tanzania,wanamuziki wengine wanaoenda kupiga show nje ulipwa dolla 2000 lakin jamaa ameona bora apige show za apa apa Tanzania,kutokana na malipo mazuri,hongera sana