RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,818
Hivi wana ndugu mnaonaje, mawasiliano na mtu ambaye mliwahi kuwa na mahusiano siku zilizopita, mnaonaje imekaa njema? tena baada ya kuoa ama kuolewa!
kwangu mimi naona sio vizuri.....ninavyoelewa MAWASILIANO ni pamoja na kupigiana simu na kuonana.....sasa imagine mmeo/mmkeo/bf/gf anakwambia sijawasiliana na X siku nyingi ngoja leo nimpigie simu/nikamuone wewe utajisikiaje???na akiwa anawasiliana nae kwa siri ukigundua utajisikiaje??kwa kweli mawasiliano na X yanaweza kuleta mtafaruku.
nb:kama ulizaa na x mawasiliano ni muhimu,i hope uliingia kwenye relationship ukijua mwenzio ana watoto hivyo ujue kuwa sometime atahitaji kupeleka watoto kwa mama/baba yao.....hawezi kufnya hivyo bila mawasiliano.