Mh.... haya bana:nono:
Mambo ya kusema once in a while ni tabia ya uhuni-kwenu nyote wawili maana kama mkishaamua kila mtu kuishi maisha yake mawasilianao ya nini? C una mke au mume? Ya nini kurandarand nje? Mwishowe utaletea familia yako magonjwa amabayo yangeweza kuepukika.We unadhani toka muachane kaishafanya mangapi? Acheni kutafuta mbinu za kuhalalisha ngono humu ndani. Ukikutana naye mwaweza kusalimiana lkn kuwasiliana tena kwa cmu!!!!!! ckubalianai na hili
Mh.... haya bana
kwanza umesusa na jina
poa tu,
karibu freedom
Mambo ya kusema once in a while ni tabia ya uhuni-kwenu nyote wawili maana kama mkishaamua kila mtu kuishi maisha yake mawasilianao ya nini? C una mke au mume? Ya nini kurandarand nje? Mwishowe utaletea familia yako magonjwa amabayo yangeweza kuepukika.We unadhani toka muachane kaishafanya mangapi? Acheni kutafuta mbinu za kuhalalisha ngono humu ndani. Ukikutana naye mwaweza kusalimiana lkn kuwasiliana tena kwa cmu!!!!!! ckubalianai na hili
Mambo ya kusema once in a while ni tabia ya uhuni-kwenu nyote wawili maana kama mkishaamua kila mtu kuishi maisha yake mawasilianao ya nini? C una mke au mume? Ya nini kurandarand nje? Mwishowe utaletea familia yako magonjwa amabayo yangeweza kuepukika.We unadhani toka muachane kaishafanya mangapi? Acheni kutafuta mbinu za kuhalalisha ngono humu ndani. Ukikutana naye mwaweza kusalimiana lkn kuwasiliana tena kwa cmu!!!!!! ckubalianai na hili
.......Watu tunawaza tofauti, hivyo ukiwasiliana na X basi mazungumzo yatakuwa ngono tu? Eti tabia ya uhuni khaaaaa!! Naona umefika mbali sana au ndio fikra zako zimeishia hapo.
.......Watu tunawaza tofauti, hivyo ukiwasiliana na X basi mazungumzo yatakuwa ngono tu? Eti tabia ya uhuni khaaaaa!! Naona umefika mbali sana au ndio fikra zako zimeishia hapo.
Hujambo Pretty? And how is that baby doing? When are you due?
.......Mimi nipo poa mtu wangu, mtoto yupo poa tu nadhani katakuja kuwa katundu maana yupo busy mno kupiga mateke.My due date is November.......I got a long way to go my dear.
.......Mimi nipo poa mtu wangu, mtoto yupo poa tu nadhani katakuja kuwa katundu maana yupo busy mno kupiga mateke.My due date is November.......I got a long way to go my dear.
hivi wana ndugu mnaonaje, mawasiliano na mtu ambaye mliwahi kuwa na mahusiano siku zilizopita, mnaonaje imekaa njema? Tena baada ya kuoa ama kuolewa!
......Inategemea na mlivyoachana, wengine tulitenganishwa na ndugu hivyo hatukuachana kwa ubaya.Mie huwa nawasiliana naye vizuri maana sio adui yangu.