Should we not to...?

Ndoa/Mahusiano ya wakati huu kusema kweli yamekuwa magumu kuliko yale ya enzi za wazee wetu (at least ndivyo ninavyoamini mimi). Hali hii imenifanya niwe nawaza kwa mtindo wa what if angekuwa vile na si hivi. Nikajikuta nashawishika kuamini pengine ingekuwa tofauti ingawa sina uhakika.

Kwa kuwa nimeshuhudia miparanganyiko kwa couple ambazo either mmoja au wote wa wenzi hao ni kama ni:

mwanamke:
Ni mrembo wa sura, msomi, anakazi na kipato kizuri au ametoka katika familia bora kifupi ni mtu ambaye ni BORA.

Mwanaume:
Ni mzuri wa sura aka handsome/ana kazi nzuri na kipato kizuri/famous anajulikana na yeye mambo safi

couple nyingi zenye combinations za namna hii au mmoja anayo sifa ya aina hii ( kwa experience yangu) huwa zinatend kuwa na migogoro ya mara kwa mara hadi nafikia kuamini kuwa ni bora tunapochagua wenzi tukajaribu kuavoid extremes i.e. msichaguane wazuri sana, wasomi sana, mwenye kipato sana au anayejulikana sana (after all hii itasaidia kupunguza gap kati ya haves and have-nots no?)

au najidanganya?

Naomba mnisaidie:eek:
Kamanda... sema neno tu, na roho yangu itapona!!!
 
Back
Top Bottom