Should we not to...?

Umesomeka kama unavyosomeka hapa:

unatoa lami unaweka lami, unatoa vumbi unaweka vumbi!


Na hii nimekuzawadia hii:

The Following User Says Thank You to generation-Y For This Useful Post:
Asprin (Today)

So to solve for D, apply MMU daily....au sio babu!
 
Mke mwema huchaguliwa na Mungu - same with mume mwema. Kila atakaye kuoa/kuolewa azame katika maombi.
 
mmh mmh apana
roya roy=rose
bigirita=mama bg
finest=kayatima kamapenz
generation y=magazijuto
kaizer=zilipendwa
asprin=wa wajukuu
kimey=wa kusutwa
Mamito mi c nilisemaga naogopa kusutwa mtoto wa mwanamke mwenzio?
 
Wakati unalifufua hili lisredi la mwaka jana ulitarajia tutajadili nini?
hahahaha wala sikunotice kua hili thread ni la mwaka jana........Baba Gift huna mpya mpaka unafumua fumua vya zamani?
 
Afu sijakuhamisha meza siku nyingi sana....imekaaje hii?:hungry::hungry::hungry:
dont worry buddy... nipo pakistani namtafuta JS.... sijui kajificha wapi!!!

will be back in december
 
Back
Top Bottom