Should there be communication?

Pearl

JF-Expert Member
Nov 25, 2009
3,036
309
Jamani wana jamvi naomba kuuliza umekuwa kwenye mahusiano maybe kwa mwezi-1-5-2yrs-3,4,5...........,ulikuwa na mtu mliependana sana na kuamini mno,mlikuwa na ndoto nyingi(maybe kuna mlizozitimiza,au nyengine hazikutimizwa)ikafika kipindi mahusiano/mapenzi yenu yakashindwa kuendelea(mmeshindwana kitabia,mlifumaniana,mwingine alikuwa si mwaminifu etc)uhusiano wenu kwa njia moja au nyengine ukafa/ukavunjika,swali ni je?
  1. Kuna haja ya kuwa na mawasiliano like kupigiana cm,kutoka outings,kushare misiba /harusi?
Mimi sioni sababu ya kuendeleza mawasiliano yyte kati yangu na my Ex naamini kama it didint work out while we were friends/lovers will it work out now?
-Pia nadhani kwa kuwa na mawasiliano nae itaharibu/itavunja uaminifu wangu na mpenzi wangu wa sasa.
-Lakini pia kwa kuwa na mawasiliano na my Ex itani remind mambo mazuri,vitu tulivyofanya,sehem tulizoenda wakati wa penzi letu na hivyo kunifanya niwe kwenye Dilemma hasa kama uhusiano huu nilionao sasa hauendi vizuri.

My pipo wat do u do?do u keep the communication alive with ur Ex/should we?mawazo yenu yanahitajika sana.:A S 103::A S 103::A S 103:
 
To me the answer to that is empathetic NO. You need to make yourself scarce and find other thing to occupy your time. Accept the fact that at least for now is no longer your boyfriend, he has the right to privacy and you have a right to yours. What did you do before you met you ex-boyfriend and made him the center of you life???.

There are other people that love you and have your interest at heart. Your family and friends will welcome you and show you the support you need, you are just going to get a better perspective
 
mmmmh ok nimekusoma maana inaonekana na msisitizo umewekewa wekundu kabisaaaaaaa!
To me the answer to that is empathetic NO. You need to make yourself scarce and find other thing to occupy your time. Accept the fact that at least for now is no longer your boyfriend, he has the right to privacy and you have a right to yours. What did you do before you met you ex-boyfriend and made him the center of you life???.

There are other people that love you and have your interest at heart. Your family and friends will welcome you and show you the support you need, you are just going to get a better perspective
 
sijambo swty hut,uko pouwa?so watoto ndo watafanya mawasiliano yawepo eeeh?wat iof huyu uliyenae anawatake care watoto vizuri mnoooo?
Kama tulibahatika kuwa namtoto/watoto
Then definitely ...otherwise sioni umuhimu...

We hujambo lakini dear???
 
yani haina haja kabisa kabisa kwanini muendelee na mawasilianao ili iweje????
yani sipendi kabisa kuwa na mawasiliano na ex
 
hamna uhusiano wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke

there must be a bussness inco.
 
Mnaweza mkawa marafiki na usikumbuke chochote....mnaweza msiwe marafiki na ukakumbuka kila kitu!!!Yote inategemea mahusiano yako mapya...ukiridhika nayo sawa sawa hata ukikutana na huyo ex wako akiwa mtupu utamuona mizinguo tu.
 
mmmmh mbn kama sikuelewi?yani mahusiano btw mwanamke na mwanamme ni biashara tu?u mean huna ma boyfrinds?
hamna uhusiano wa kawaida kati ya mwanaume na mwanamke

there must be a bussness inco.
 
Mnaweza mkawa marafiki na usikumbuke chochote....mnaweza msiwe marafiki na ukakumbuka kila kitu!!!Yote inategemea mahusiano yako mapya...ukiridhika nayo sawa sawa hata ukikutana na huyo ex wako akiwa mtupu utamuona mizinguo tu.
You are summoned for the hearing
 
kufanya mawasiliano na x wako yaweza kusababisha huyo uliye naye kwa sasa akahisi kwamba una mahusino mapya na mtalaka wako. Kwa hiyo communication anapaswa kuwa stopped.
 
duh mamy utupu wa mtu uliewahi kuwa na mahusiano nae zen uuone mizinguo?lkn mpaka unafikia kuuona utupu wake mko wapi hapo and mmeenda kufanya nn?
Mnaweza mkawa marafiki na usikumbuke chochote....mnaweza msiwe marafiki na ukakumbuka kila kitu!!!Yote inategemea mahusiano yako mapya...ukiridhika nayo sawa sawa hata ukikutana na huyo ex wako akiwa mtupu utamuona mizinguo tu.
 
Back
Top Bottom