Haya wako wapi wale wakuda waliokuwa wakisema tunaokaa nje hatutakiwi kuongea kuhusu hali ya siasa nchini kwa sababu hatushiriki kupiga kura wala hatulipi kodi?
Vimbonelehi wakubwa (=wadogo sana).
hawajui mambo ya remittanceHaya wako wapi wale wakuda waliokuwa wakisema tunaokaa nje hatutakiwi kuongea kuhusu hali ya siasa nchini kwa sababu hatushiriki kupiga kura wala hatulipi kodi?
Vimbonelehi wakubwa (=wadogo sana).
he who knows this country will laugh it off.
kama kuna ugumu kuandikisha wafungwa hapahapa tanzania kuandikisha watanzania waishio nje ambao hata idadi yao haijulikani ni serious joke.
Uchaguzi ukikaribia kila kitu husemwa tanzania, ili kufurahisha wapiga kura, rafiki zao na ndugu zao.
Mgombea binafsi mahakama imesema ok, serikali kwenye budget zote since 2007 insema inakubali hilo lakini wanapinga uamuzi wa mahakama kuhusu wagombea binafsi.
My friends in tanzania if you are not confused, then your head is not working properly
wiki mbili zilizopita Jaji lewis makame alihojiwa na BBC (na Abdala majura) akasema hawawezi kuruhusu watanzania wanaokaa nje kupiga kura ili hali hawajapewa mafunzo ya upigaji kura. Sasa sijui hii nguvu ameitoa wapi ya kusema wanaandaa utaratibu?? CCM ipo siku tu mtaanguka pamoja na hilazote hizo!!!
he who knows this country will laugh it off.
kama kuna ugumu kuandikisha wafungwa hapahapa tanzania kuandikisha watanzania waishio nje ambao hata idadi yao haijulikani ni serious joke.
Uchaguzi ukikaribia kila kitu husemwa tanzania, ili kufurahisha wapiga kura, rafiki zao na ndugu zao.
Mgombea binafsi mahakama imesema ok, serikali kwenye budget zote since 2007 insema inakubali hilo lakini wanapinga uamuzi wa mahakama kuhusu wagombea binafsi.
My friends in tanzania if you are not confused, then your head is not working properly