Should African Countries Recognize The Libyan Rebels?

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
4,598
1,233
Hapa juzi kati Hillary Clinton alitembelea Tanzania na kukutana na Rais Kikwete na Mh. Membe pamoja na viongozi wengine. Kabla ya hapo Clinton alikuwa Zambia ambako alizisihi nchi za kiafrika kujitahadhari na wachina wenye lengo la kuleta "ukoloni mpya". Baada ya Tanzania Clinton alielekea Ethiopia na kukutana na viongozi wa AU. Akiwa Ethiopia Clinton alizitaka nchi za Africa kumtema Gaddafi na kuutambua uongozi wa waasi wa Libya walioko Benghazi (TNC). Nchi nyingi za ulaya ambazo zinaipa "misaada" Tanzania ikiwemo Uingereza, Ujerumani na hata Denmark wametangaza kuitambua TNC. Inavyoonekana kwa sasa ni kwamba USA wameanza kuwahamasisha viongozi wa Africa kukubaliana na matakwa ya USA, na NATO kwa ujumla, kuhusu Libya.

Naona kuna kila ishara serikali ya Tanzania ambayo imeshaingia kwenye mtego wa "misaada ya wafadhili" kukubaliana na matakwa ya USA. It is just a question of time!

kikwete-clinton.png
membe-clinton.png

article-0-0C86F5A300000578-936_634x450.jpg
 
Ulimbukeni wa serikali ya Tanzania watakubari tu mana wanategemea misaada kutoka kwa watu wa magharibi
 
Ulimbukeni wa serikali ya Tanzania watakubari tu mana wanategemea misaada kutoka kwa watu wa magharibi
Wamarekani sasa wanashinikiza wazi-wazi, na serikali ya Tanzania nadhani tayari wameshakubaliana nao, bado kutangaza tu. Naona kwa sasa serikali inapima upepo kwanza!

Clinton urges Africa to drop Gaddafi, embrace rebels
ANDREW QUINN ADDIS ABABA, ETHIOPIA - Jun 13 2011 18:15

610x.jpg
Secretary of State Hillary Rodham Clinton shakes hands with AU Commission Chairperson, Jean Ping, at the African Union Commission headquarters in Addis Ababa, Ethiopia, Monday, June 13, 2011.

US Secretary of State Hillary Clinton on Monday urged African leaders to abandon Libya's Muammar Gaddafi,
saying it was time to live up to their pledges to promote democracy across the continent.

Clinton, the first United States secretary of state ever to address the 53-member African Union (AU), said unreformed African leaders were themselves at risk from the same tide of democracy sweeping the Middle East, proclaiming "the status quo is broken and the old ways of governing are no longer acceptable".

"It is true that Gaddafi has played a major role in providing financial support for many African nations and institutions, including the AU," Clinton said in her speech at the AU's headquarters in Addis Ababa.

"But it has become clear that we are long past the time when he can remain in power."

Clinton urged African states -- many with longtime diplomatic and financial ties to the oil-rich Libyan strongman -- to join the international coalition demanding his exit as the condition for a ceasefire. She also urged them to close pro-Gaddafi Libyan embassies, expel his diplomats and to build ties with the Benghazi-based rebel National Transitional Council which the United States and its European and Arab allies are promoting as a future interim government for the country.

"Your words and your actions could make the difference in building this situation to finally close and allowing the people of Libya to get to work writing a constitution and rebuilding their country," Clinton said.

Clinton's AU speech came at the end of a three-nation Africa tour during which she sought to highlight the Obama administration's drive to boost trade ties with Africa and encourage better political and economic governance.

Source
 
Kwani Tanzania ikitaka au ikikataa itakuwaje? The time when Tanzania used to matter is over.
 
When did Tanzania ever mattered, and to whom?

So if Tanzania never mattered to nobody, why the hell did you start this freaking thread in the first place, and what made you pose the kind of stupid question in the moronic title anyway?
 
So if Tanzania never mattered to nobody, why the hell did you start this freaking thread in the first place, and what made you pose the kind of stupid question in the moronic title anyway?
Punguza jazba. Acha kutumia IDs tofauti, halafu na pia anzisha thread zako na tutachangia. Usidandie treni kwa mbele utaumia!
 
Punguza jazba. Acha kutumia IDs tofauti, halafu na pia anzisha thread zako na tutachangia. Usidandie treni kwa mbele utaumia!

Cut the b.s. and answer the damn question, fool! What made you start this thread if you think Tanzania isn't important to what's happening in Libya?
 
Muanzisha thread hii anastahili kupewa ban au thread yake ifutiliwe mbali. Siyo sahihi mtu aanzishe thread, halafu baadae aje na kauli zisizo na mantiki na akiwa challenged, ashindwe kutetea arguments zake. Huu siyo tu ni ulimbukeni, bali ni upotoshaji unaofaa kulaaniwa! Mwanzisha thread akishachukuwa jukumu la kufungua thread mpya, basi kulingana na mtirriko wa michango itakayotolewa kwenye hiyo thread, aidha awajibike kwa kuonyesha kutetea hoja zake za msingi alizoziainisha awali kwenye hiyo thread, au akubali na kukiri kuwa amekosea na kubadilisha msimamo kama akishindwa kutetea hoja zake.
 
Cut the b.s. and answer the damn question, fool! What made you start this thread if you think Tanzania isn't important to what's happening in Libya?
Vennligst pass på språket ditt, ungen min (dogo, tafadhali chunga lugha unayotumia)!
 
Muanzisha thread hii anastahili kupewa ban au thread yake ifutiliwe mbali. Siyo sahihi mtu aanzishe thread, halafu baadae aje na kauli zisizo na mantiki na akiwa challenged, ashindwe kutetea arguments zake. Huu siyo tu ni ulimbukeni, bali ni upotoshaji unaofaa kulaaniwa! Mwanzisha thread akishachukuwa jukumu la kufungua thread mpya, basi kulingana na mtirriko wa michango itakayotolewa kwenye hiyo thread, aidha awajibike kwa kuonyesha kutetea hoja zake za msingi alizoziainisha awali kwenye hiyo thread, au akubali na kukiri kuwa amekosea na kubadilisha msimamo kama akishindwa kutetea hoja zake.
Ivi wewe unajiona ni nani? Umesoma na kuzielewa kanuni na sheria za JF au basi ndio kukurupuka tu na kuongea utumbo almradi siku imekwenda? Tokomea huko ulikotoka na udikteta wako uchwara! Waache wenye akili timamu waendelee kuchangia mada.
 
Nakubaliana na hoja yako ingaje tutawatambua hao waasi siyo kama Watanzania wote wanavyotaka bali watawala wanavyotaka. Na hii ni kwa sababu sisi wananchi hatuna platform ya kuishinikiza serikali akatenda kama wananchi tunavyopenda.

Gaddafi anasakamwa kwa sababu ya uwekezaji wa mali za africa kwa africa. AU imeshagawanyika kwenye hili suala na nadhani huyu wa kwetu kwa vile ni kipenzi cha Wamarekani atatii amri zao bila kujali maslahi ya Africa.

Ebu fikiria anataka meli kubwa za kupambana na maharamia kana kwamba pesa chafu ya maharamia hana habari nayo kuwa inajenga Mbezi na majengo makubwa na biashara kubwa kubwa Dar es Salaam. TUNALO HATUNA JINSI.
 
...na nadhani huyu wa kwetu kwa vile ni kipenzi cha Wamarekani atatii amri zao bila kujali maslahi ya Africa.
Hapo umenena. Inaonekana serikali yetu ina siasa za kujikomba kwa wamarekani bila kufikiria madhara yake ambayo huko mbele itakuwa vigumu kuyaepuka. Yaani hata karne moja haijapita lakini ni kama vile tumeshasahau ukoloni uliianza vipi. Kaazi tunayo!
 
I hope you are not praying with hooks and crooks for United Republic of Tanzania to recognize Libyan Gangmen supported by NATO, right!?
MpigaKelele, I do not even need to pray, URT will eventually recognize the Libyan "gangmen" as a matter of fact. There is little you and me can do than wait and see (I am just trying to be pragmatic here). Ata tukipiga kelele namna gani sidhani kama itasaidia!
 
Tatizo we don't even know what is Tanzania's foreign policy. Hata juzi Membe aliulizwa alipokuwa London akawa anajichanganya. Hata kama tunayo foreign policy itakuwa inafuata upepo. That's why I am not surprised what Kikwete and his Co did in South Africa in his recent visit. Msikilize kwenye hii video kuanzia dakika ya 4.5 mpaka ya 8. Anaongelea sera ya defense of freedom, human rights, equality and democracy. Sasa compare na Kikwete kwenda South Africa juzi ku-abolish SADC's Tribunal for human rights. How come one hand you say that one of the pillars of our foreign policy ni protection of human rights, whilst on the hand you goes on to abolish a human rights tribunal? Kwa issue ya Libya tunawasupport the West, be'se tunajua Gaddafi days are numbered. If we were bold enough we should have expressed our position from the beginning badala ya kusubiri mpaka sasa.

 
Last edited by a moderator:
Kama wakiwatambua waasi wa Libya, wawe tayari kuwatambua pia waasi ndani ya nchi zao, mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Wale pale libya ni waasi tu kwa namna yeyote na hawana budi kulaaniwa kwa nguvu zote na zaidi ya hayo wamepandikizwa na marekani.
 
Hio habari imetolewa kana kwamba there was a slight chance that Tanzania would do otherwise..
HB inajulikana kabisa where he stands concerning the matter, hata kama Bi Clinton would not have come
He does not have the guts to go against... yeye siku zote ni kuchukua uamuzi rahisi haijalishi ni sahihi or not.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom