ahahaa mimi nikoje
mimi nina busara balaa
sema basi tu
kishaweka neno mwanaume mahali hatutaelewana
sichukii wanaume bwana ,kuna sehemu tu siwapendeiYes dearest; hapo kwenye full of happiness nakubaliana nawe 100%. But huwezi kuwa bitter at the same time happy! Unless you let it go, huwezi kuwa free na happy! Ukitumia muda mwingi kuhate mwisho wa siku inakuumiza wewe na si ajabu unayemchukia hata hajui kama unamchukia!
Tunaishi na wanaume, maofisini majumbani mitaani, ni kaka zetu, wajomba, coleagues etc. Wametutenda wawili au watatu lkn si wote!
wewe mzee weweNaomba wadada humu mnijuze.............Hivi utamu wa mwanaume uko wapi..? Saizi kubwa ya Kilambio.....au kupiga mabao mengi ya kufa mtu....................? Hebu fungukeni mtupe hiyo siri.................LOL
Kama utamu wenyewe ndio huo....................Sasa kilichomshangaza NDYOKO ni kitu gani...............!?wewe mzee wewe
utamu wa mwanaume ni busara,akili,ukweli, then mengine yanafata
Naomba wadada humu mnijuze.............Hivi utamu wa mwanaume uko wapi..? Saizi kubwa ya Kilambio.....au kupiga mabao mengi ya kufa mtu....................? Hebu fungukeni mtupe hiyo siri.................LOL
Ina maana huyo shosti alikuwa anawazuga wenzake!!!!hawana utamu wowote
Naomba wadada humu mnijuze.............Hivi utamu wa mwanaume uko wapi..? Saizi kubwa ya Kilambio.....au kupiga mabao mengi ya kufa mtu....................? Hebu fungukeni mtupe hiyo siri.................LOL
sikuzote natamani sana kuingia mioyoni mwa wanawake maana kuwagundua ni vigumu sana..
Trust me hataungeingia mioyoni mwao usingewaelewa pia...they are simply complex!
mie napita tu umbeya huo haunihusu
domo kubwa yatampata makubwa,mwanaume mtamu unamtangaza ananuka nanihii ili wakuachie mwenyewe!
Mtatuua sasa, hadi maini!!!???Ina maana mifuko yetu mnayotupekua haiwatoshi??
Duuh...siku gani utakuja na story za gheto kuhusu wanawake, naona masikio yako yananasa za kike tu.
Hahahahahah lol! Shosti.....Wajanja watakushtukia weye!!!!....Yule Shosti anasema yule njemba ananuka nanihii mbona kila siku kamganda tu!? Mbona hamuachi? hapo ndio janja yako itafikia ukingoni