Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Lakini, hivi utamu wa mwanamume ukoje?Kweli wadada wanatutumia kwa starehe zao
Lakini, hivi utamu wa mwanamume ukoje?Kweli wadada wanatutumia kwa starehe zao
hawana utamu wowoteLakini, hivi utamu wa mwanamume ukoje?
but ni bora kuujua ukweli hata kama unaumiza kuliko kukaa gizani ,na kufurahi kumbe unachofurahia sio
hawana utamu wowote
Mimi nafikiri, life is more interesting this way! Ujanja ni kulive the moment; na kusimama haraka pale unapoanguka.
Kauli inayonipa Faraja siku zote ni kuwa whatever happened "it could have been worse"!
Mfn: umechukuliwa mwanaume na best friend wako; surely it hurts. Imagine anakucheat na kukuletea ngoma na bado anakuacha! Sasa si bora kaumiza Moyo wako na amekuacha bug free? Any situation "it could have been worse"
Kauli ya pili ni "he is not worthy my love"!
Ukitumia hizo statements na ukaziamini; utaheal na life will go on!
ni kweli kaunga whatever happened "it could have been worse"!- ila lazima utaumia kwa kipindi flaniMimi nafikiri, life is more interesting this way! Ujanja ni kulive the moment; na kusimama haraka pale unapoanguka.
Kauli inayonipa Faraja siku zote ni kuwa whatever happened "it could have been worse"!
Mfn: umechukuliwa mwanaume na best friend wako; surely it hurts. Imagine anakucheat na kukuletea ngoma na bado anakuacha! Sasa si bora kaumiza Moyo wako na amekuacha bug free? Any situation "it could have been worse"
Kauli ya pili ni "he is not worthy my love"!
Ukitumia hizo statements na ukaziamini; utaheal na life will go on!
Umdhaniye ndiye siye,inatokea sana kwenye maisha, kabla ya kuwa nae unadengua ukishamkubali
unakuta kuna hazina balaa
tunawasaidia tu ila hawana shukraniHa ha ha! Smile umemifanya nicheke kwa nguvu dearest! I just adore you!
tunawasaidia tu ila hawana shukrani
unampa utamu yeye anakupa maumivu tena ya kiroho
craaaaaaaaaaaaap
mmmh heri yako ulikutana na hazina wengine tunazisikia kwenye bombaUmdhaniye ndiye siye,inatokea sana kwenye maisha, kabla ya kuwa nae unadengua ukishamkubali
unakuta kuna hazina balaa
tunawasaidia tu ila hawana shukrani
unampa utamu yeye anakupa maumivu tena ya kiroho
craaaaaaaaaaaaap
We hizo busara sio bure, hapo lazima kuna mkono wa AshaDii!
ahahaa mimi nikojeUmegundua eeh!
She did help me a lot, nafikiri hajui maana sijamwambia rasmi! Nilivyokuwa mbona Smile ni cha mtoto!
ni kweli kaunga whatever happened "it could have been worse"!- ila lazima utaumia kwa kipindi flani
ila maisha sio mwanaume tu
duniani kuna mambo mengi tu ya kutupa furaha my dear
our life cannot always be full of love but it can always be full of happiness !
do u agree?
Ndio maana inatakiwa na msichana akidengua awe anajiamini siku akimkubalia mwanaume,unapiga mzigo wa nguvu hakuna kuremba, ili hata na yeye akisepa huko aendako akae akisifia tuHahahaaa! Ila usisahau kadiri unavyodengua na hamasa yake kwako hupungua na unapokuja kukubali ni kama mwenzio anaondoa tu gundu, then anakupotezea ili hali wewe ndo unaona sasa umefika. Halafu kinachofuatiaga hapo ni chuki kwa kwenda mbele dhidi ya vidume vingine vyote vitakavyoleta maombi!