MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Hii maneno nimeisikia nusu saa ilopita toka kwa mashostito watano walokuwa wanapiga domo muda huu wa kazi. Unajua tena hizi ofisi siku hizi zinatenganishwa kwa soft wood sio kama enzi zile za ukuta wa tofali za njanja. Bila kujua nipo kwa ofisi huku wamenogewa na girly story zao, wakaishia kuongelea wanaume vipanga waliopo kwa ofisi zetu. Nilifurahishwa na walivyokuwa wakimchambua jamaa yetu mmoja ambaye upole wake mepelekea 'kuwadungua' wadada wengi hapa ofisini. Aisee kumbe wanawake wanavutiwa sana na njemba walio wapol
Baada ya kumsema sana kuhusu huo u-lava boyi wake na kugundua kuwa wanne kati yao wameshapitiwa na mshikaji, yule ambaye alikuwa hajapitiwa akawaambie wenzake 'eti Amida kaniambia kuwa jamaa ana mbegu nyingi kweli', hivi ni kweli? Mwingine akadakia, "Shosti Mwanaume ana 'manii' (hapa alitumia lile neno lenyewe haswa) nyingi yuleeeee! Muone vilevile tu!", akaendelea zaidi-yaani sina hamu mtu unashinda siku nzima zinakuchuruzika mapajani utadhani uko kwenye siku zako; hafai kabisa mwanaume yule na mkewe kazi anayo na sikushauri shosti utoke naye utaishia kushinda na shombo la sh****a siku nzima, shida gani!
Nikajidai kama nafungua mlango kuingia ofisini baada ya kuona upuuzi wao umezidi ndipo waliponong'onezana wakidai waache hizo stori eti ntawasikia bila kujua kuwa nilishawasikia from A to Z.
My take: Jamani kina dada muwe mnatuhifadhi walau kidogo hasa kwenye mambo ya 6x6 please, msitudhalilishe kiasi hiki.
Sasa mbona unanisema!!!!ndio hivyo hivyo kweli