Exactly sissy! Huyu jamaa haeleweki anafikiri unaweza kutafuta umaarufu kupitia JF.
Get a life Mohamed Shosti (aka Malaria Sugu!)
Mhh Mohamed Shossi hawezi akawa Malaria Sugu,hivi malaria sugu angekuvumilia kweli kwa haya maneno uliyoyaandika kweli? humjui Malaria Sugu vizuri wewe! tunashukuru mungu hayupo kutuchafulia hali ya hewa kwenye jamvi letu hapa!