OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
mimi hata sisikitiki hizi SM za makaburu zikifungwa ingekuwa Imalaseko au PATCO hapo ningesikitika
Tanzania ni zaid ya uijuavyo, but back on track...utamaduni wa kwenda supermarket hatuna hii nikutokana na fikra potofu kwamba SM ni ghali, pili tunaile tatizo la infiriority complex its like we think SM is for some people with certain status which is totally wrong. tunajibagua kutokana na aina ya maisha tuliyonayo.
kuhusu mlimancity, watu wengi wanadhani kule ni kwa mabishoo a.k.a wauza sura, lakini ukiingia SM mfano ya shoprite utakuta vitu ambavyo mtaani ni ghali kuliko pale, mfano maji ya kilimanjaro 1.5L mtaani ni 700tsh wakati pale ni 450. coca ya kopo mtaani ni 1000-1500 tsh lakini pale ni 750. so waTZ tunahitaji kupata elimu zaidi. faida nyingine SM bei hazina msimu, mfano msimu wa xmass au idd mtaani vitu huwa juu lakini pale always inabaki palepale. kingine kwenye SM huwa kuna sale ambapo bei hupungua kwa Percent flan kitu ambacho hakiwezi kutokea mtaani kamwe.
hizo ni hasara zilizotokana na kufungwa kwa SM, lakini faida mojawapo ni kupunguza lundo la bidhaa za southafrica ilifika stage hadi machungwa ni ya SA wkt pale Tanga yanaoza tu.
Ukinunua sikunyingine usome expire date, ungesoma hiyo tarehe msingeharisha ovyo!