The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Niliingia kule siku moja nikabaki mdomo wazi. Akina mama kibao wanajitangaza wengine wanaweka mpaka picha halafu hawafichi kama wameolewa.
halafu bubu ujue unanichekesha saana?
eti niliinigia siku moja nikabaki mdomo wazi..lol
isije kuwa wewe kwenye huo mtandao ni premium member kama hapa jf...lol