Kabembe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2009
- 2,548
- 1,741
Akikwepa Patel na Manji sawa lakini mzawa hata akiomba msamaha wa kodi apewi,duh! kweli CCM si chama cha wakulima na wafanyakazi tena.
Lazima tudhibiti wakwepa kodi ili kukuza uchumi wetu.