Shoka la TRA latua CHADEMA

Akikwepa Patel na Manji sawa lakini mzawa hata akiomba msamaha wa kodi apewi,duh! kweli CCM si chama cha wakulima na wafanyakazi tena.
Lazima tudhibiti wakwepa kodi ili kukuza uchumi wetu.
 
TRA inapokuwa REACTIVE badala ya kuwa PROACTIVE. Yaani mpaka CHADEMA wasema TRA ina madudu mengi ki utendaji wao nao wanakuja na mambo ya kukomoana.

Kwangu mimi hii ni FAILURE kubwa sana kwa chombo nyeti kama TRA, yaani miaka yote hiyo hawakujua kwamba CHADEMA hawalipi kodi hadi juzi tu DR. Slaa alipotoa shutuma kwao? this country bwaaaana mifumo yoote haifanyi kazi yaani imekufa na kuzikwa.

Naanza kuamini kama wewe ni mfanyabiashara mkubwa basi uwe ndani ya CCM, vinginevyo watakuwambia hujawahi kulipa kodi miaka yote tangu uanze biashara zako na hawakawii kukufilisi. Kwa sababu hii ni issue ya kisiasa sasa tutaona nani zaidi - Ngumu ya Umma au Serikali ya Kikwete -- Pigeni filimbi mtanange uanze.
 
Kwanini huwa hamfikirii kabla ya kuandika na kutenda mlikuwa wapi msiwafuatilie miaka kumi au mnataka kuwadanganya wananchi ili kuwachafua CHADEMA. Acheni kupoteza muda kwa kusikiliza muongozo mnaopewa na wanaowala na kuwanyonya. Badala ya kuungana pamoja kujenga nchi mnaungana kubomoa Shame on you.

And let me tell mmeshachelewa kwani wananchi wameshafunguka macho na ni ngumu kuwageuza tena. Kakateni kodi na Trilioni za Shimbo basi
 
Kulipa kodi ni lazima kwa kila mtu au taasisi yoyote. Kama CHADEMA walikuwa hawalipi ni makosa na wanastahili kulipa hiyo faini haraka na wasirudie tena.

Jambo ninalojiuliza hapa ni kuhusu vyama vingine! Kwanini CHADEMA peke yake? Hao TRA walikuwa wapi kwa miaka 19? Kama walikuwa wanalipwa na vyama vingine, mbona hawakukikumbuka CHADEMA? Anayetakiwa kukusanya hiyo kodi anawajibika vipi kwa kutokutekeleza majukumu yake?

Kwa kifupi maswali ni mengi kuliko majibu!

Pia ikumbykwe kama hawa ndio vinara wa vita juu ya ufisadi...amakweli nyani haoni kundule. Kuna mtu mmoja alininon'goneza kuwa hawa wanaiasa ni njaa tu zinawasumbua.

Kikwebo.
 
Hivi makelele yote akina Mbowe kuhusu ya posho za vikao vya BUNGE na kurudisha gari kuna tofauti gani kama katibu ana lipwa posho kubwa hivi na tena eti ni kwa ajili Slaa tu ila kama katibu akibadilika na posho pia inabadilika. What's specials Slaa contains? Kukwepa kodi huko ni picha halisi kwa wasiowafahamu
 
Kama chadema hawakulipa kodi faini ni haki yao swali lipo palepale JE CCM MMEKUWA WAAMINIFU TOKA LINI NA JE MMELIPA NA NINYI???
 
<font color="#808080">Monday, 08 August 2011<br />
NA HAMIS SHIMYE</font>, <font color="#808080">Gazeti la Uhuru</font><br />
<br />
<img src="http://uhurupublications.com/images/stories/videos/thumbnail/aadk. slaa 3.jpg" border="0" alt="" /><br />
<br />
<br />
<font color="#000080"><span style="font-family: courier new"><font size="4">MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeitoza faini ya sh. milioni 100 CHADEMA, baada ya kubainika inakwepa kodi tangu ilipoanzishwa mwaka 1992. TRA pia imeanza kukata kodi mshahara wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Willibrod Slaa na watumishi wengine wa CHADEMA. <br />
<br />
Habari za kuaminika kutoka ndani TRA zilisema ulipaji faini unaanza mara moja, baada ya uchunguzi kukamilika na kuonyesha chama hicho hakilipi kodi.<br />
</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4">"Tumemaliza uchunguzi na kubaini CHADEMA hailipi kodi ya mishahara ya kila mwezi ya watumishi wake tangu ilipoanzishwa,'' kilisema chanzo chetu cha habari.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4">Imeelezwa kuwa, CHADEMA imekiuka sheria na kanuni za ulipaji kodi, zinazotaka mtu, kampuni au taasisi yoyote kulipa kodi TRA.<br />
</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4">"Ijapokuwa tangu ilipoanzishwa ilikuwa hailipi kodi, katika uchunguzi tulipata taarifa za kuanzia mwaka 2000 hadi sasa zinazoonyesha hailipi kodi,'' kilisema chanzo hicho.<br />
</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4">Kutokana na hilo, chama hicho kinapaswa kulipa faini ya sh. milioni 100 na kimeamriwa kulipa kodi ya mishahara ya watumishi wake kuanzia mwezi uliopita.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4">Chanzo hicho kilisema CHADEMA imeiandika barua TRA ikidai wanacholipana ni posho na si mishahara.</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4"><br />
Hata hivyo, sheria ya kodi inaeleza kiwango chochote cha posho kinachozidi kima cha chini cha mshahara kinapaswa kukatwa kodi.</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4"><br />
Watendaji ambao TRA imeanza kuwakata kodi ni Dk. Slaa, ambaye analipwa mshahara wa zaidi ya milioni 7.4, fedha ambazo ni nyingi kuliko mshahara wa mbunge.</font></span><br />
<br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4">Mshahara huo unatokana na mapendekezo ya Azimio la Kamati Kuu ya chama hicho iliyokutana Januari 29 na 30, mwaka huu, mjini Dar es Salaam, ambapo mshahara huo umegawanya katika sehemu sita.</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4"><br />
Sehemu hizo ni posho ya mwezi, fedha za mafuta, majukumu, viburudisho, nyumba na utendaji kazi, ambapo mshahara wa mwezi ni sh. 2,300,000.</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4"><br />
Fedha za mafuta ni sh. sh. 1,387,000 kwa wastani wa lita 750 kwa mwezi, huku fedha za majukumu zikiwa sh. 575,000, mawasiliano sh. 460,000 na nyumba sh. milioni moja.</font></span><br />
<span style="font-family: courier new"><font size="4"><br />
Posho kwa ajili ya viburudisho sh. 462,500 na utendaji kazi sh. 989,000. Mshahara huo umefanywa maalumu kwa Dk. Slaa pekee na iwapo chama hicho kitapata katibu mkuu mwingine hawezi kulipwa mshahara kama huo.</font></span></font><br />
<br />
<br />
<font color="#808080"> Last Updated ( Monday, 08 August 2011 19:34 ) </font>
<br />
<br />

Chadema lazima waelewe kuwa Posho ni Fedha!
 
CCM wanaanzisha ugomvi wa mawe wakati wanakaa kwenye nyumba ya kioo. Wait and you will see. Wanachofanya ni sawa na kukata tawi la mti ulilolikalia.
 
Kwanini huwa hamfikirii kabla ya kuandika na kutenda mlikuwa wapi msiwafuatilie miaka kumi au mnataka kuwadanganya wananchi ili kuwachafua CHADEMA. Acheni kupoteza muda kwa kusikiliza muongozo mnaopewa na wanaowala na kuwanyonya. Badala ya kuungana pamoja kujenga nchi mnaungana kubomoa Shame on you.

And let me tell mmeshachelewa kwani wananchi wameshafunguka macho na ni ngumu kuwageuza tena. Kakateni kodi na Trilioni za Shimbo basi

Kaka hapa ndipo patamu na hizi tuhuma zikithibitika watz tikubali tutakuwa hatuna akili, yaani Budget ya nchi ni trilion 11 mtu anamiliki trilion 3 tena hazina kazi kaziweka tu Bank!? kazipata wapi? kwa kazi ipi? au ndio maana vile vitisho vya kabla ya uchaguzi nini?
 
Kama ni kweli ni vema CDM walipe lakini issue ni pale watakapoguswa kama TLP n.k.siku zote mti unaotoa matunda ndio hupondwa mawe, serikali na iwe extremely clean kwa hili vinginevyo tutarajie kuibuliwa kwa makubwa zaidi ya hayo.
 
Naamini ingekua kweli basi habarileo wangeandika,....
Nipashe wangeandika
Mwananchi wangeandika
Tanzania daima wangeandika
Dira wangeandika
Majira wangeandika.....

Lakini uhuru?????
Hata kama ni kweli i never trust anything written in uhuru news paper
 
NUKUU: Siasa ni mchezo mchafu. Hapo ni uchafu wa kuichafua chadema. Nao wawe makini na wakitaka amani wakiri au wakanushe jambo hili itasaidia kuweka mambo bayana.
 
Uhuru + jamba leo = MAGAMBAZ WORK. Hivi chama cha magamba wanalipa kodi??
 
Ukiona hivyo jua kuwa jamaa wanawachafulia ili wasishinde ubunge wa Igunga.
 
Hawa nao wamezidi kila siku Chadema CHADEMA, yaani wakikosa cha kufanya wanakurupuka tu! MASABURI hakukosea kusema kuna watu wanafikiria kwa kutumia mat@''#@
 
Kikwete kagundua njia nyingine ya kuwafuatafuata chadema, kikwete na wahuni wenu. The problem ya Kikwete na Ndulu na mkullo uwezo wenu ni mdogo sana wa kufikiria - unajua kabisa CHADEMA wata-demand records zote za TRA ziwe public from previous years, mtaweza kuonyesha mafisadi wote wanalipa kodi?

Hizo kodi za CCM inalipa records zipo wapi? Records za Taifa kwanini kikwete inazifungia? Si muonyeshe public nani analipa na nani alipi mbona mnachagua only chadema? Tutaona nani atatoka mshindi katika hili saga mnaanzisha wakati mkijua politics of hate na ubaguzi hazijawahi kufanikiwa popote pale duniani.
acha kulalama. chadema niwakwepa kodi wazuri. tena ukizingatia inaongozwa na wale ndugu zetu wanaolifilisi taifa hili tangu uhuru.
 
Ni mfano mbaya sana kutokulipa kodi huku unasema serkali haifanyi kitu, ingekuwa nchi za wenzetu wangeburuzwa mahakamani

Wnaotakiwa kulipa kodi hii inayoongelewa (PAYEE) ni wafanyakazi wala si chama au taasisi! Hapo ndo tunapopotoshana.

Anayelipa kodi ni mwajiliwa na si mwajili.Sasa mbona wanaituhumu chadema wakati wao(CHADEMA) ni waajili tu?
 
<font color="#0000ff"><font size="3"><span style="font-family: trebuchet ms">Kikwete kagundua njia nyingine ya kuwafuatafuata chadema, kikwete na wahuni wenu. The problem ya Kikwete na Ndulu na mkullo uwezo wenu ni mdogo sana wa kufikiria - unajua kabisa CHADEMA wata-demand records zote za TRA ziwe public from previous years, mtaweza kuonyesha mafisadi wote wanalipa kodi? <br />
<br />
Hizo kodi za CCM inalipa records zipo wapi? Records za Taifa kwanini kikwete inazifungia? Si muonyeshe public nani analipa na nani alipi mbona mnachagua only chadema? Tutaona nani atatoka mshindi katika hili saga mnaanzisha wakati mkijua politics of hate na ubaguzi hazijawahi kufanikiwa popote pale duniani.</span></font></font>
<br />
<br />

HZO RECORDS NI MASUALA YA KIUSALAMA..
 
Hivi Viongozi woote wa CCM mfano Mh. Nape wanalipa kodi? Nakumbuka ezi za chama kimoja ukiwa mfanyakzi wa CCM haukuhitaji kulipa kodi

CCM, to survive there must be a TAX loophole as they way they provide to foreign companies...
 
Back
Top Bottom