Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,190
- 13,734
Hawa TRA ile consultancy fee ya Idd Simba (Milion 285) kutoka Simon group wamechukua kodi? Vipi CCM,CUF, TLP wamewadai ngapi????????
Unategemea nini kama mtumishi wa TRA anakuwa Meya kupitia CCM na bado yuko kazini?