samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
ok samahani sikuwa nimeangalia vizuri,Tino ndio mmiliki na amecheza kama shoga kwenye hii movie.
The Following User Says Thank You to shosti For This Useful Post:
samora10 (Today)
ok samahani sikuwa nimeangalia vizuri,Tino ndio mmiliki na amecheza kama shoga kwenye hii movie.
Kazi ipo wa ban na filamu za ajabu ajabu
Maria Roza ukiona mwenzio ananyolewa .......... Watakufuata na wewe jukwaa la kikubwa wakupige ban
Mbunge mgeni rasmi then filam inapigwa ban, sijui alienda kuzindua upupu? Shame upon him.
KAKOPY filamu ya kinaija inaitwa men in love nyambafff!!!!Ni vizuri walivyofanya hivyo,cz filamu yenyewe amekopy toka filamu ya nje jina limenitoka kidogo
ila ni kila kitu alichobadili ni lugha tu.
Sipati picha hasara aliyopata hawa washikaji, kama haikuwa chafu sana waibadirishe jina tu na kuiingiza sokoni wasisahau PG restrictions..., Kama mjasiria mali nimeumia kidogo.
Tatzo lenu watz wagumu kuelewa ndo mana matokeo yanakuwa mabaya watoto wamerith kwenu, ile movi haina ubaya theme yake inakemea ushoga na wala haisapoti! Kazi ya sanaa ni kufundisha,kuonya na kukemea maovu ktk jamii tino ameitendea haki jamii kwa kuionya juu ya tabia ya ushoga kwani ushoga haufanyiki tz? Tatzo 2lilonalo watz ha2pendi kuambiwa ukweli. Bg up tino dnt luz hope de mov soon wl b released, na mapambano yataendelea hao wanaoiponda theme ya movi imewagusa labda nao ni wahanga wa ivyo vitendo na ndo mana wanaogopa movi itawaumbua. Habari ndo iyo.
sasa iyo scene ina tatizo gani alichokifanxa yy ni kuuvaa uhucka bla kuweka vpengele km ivyo jina la movi licngesadifu yaliyomo, km ina taswira mbaya kwa jamii mbona movi km oprah ina scene ambazo c nzuri kwa maadili ye2? Au ni kwa sbb znaonyesha jinsia mbili tofauti?. Watanzania wenzangu 2fke mahali lzma 2kabiliane na ukweli no matter how much it wl pain. Tatzo la wanaume wa kbongo kuigizwa wanagongwa inawauma sana sbb mara nyingi wanajiona ni vdume vya mbegu. Truth always hurtKilichosababisha filamu ile kuwa banned sio mafundisho yake bali ni mandhari yake.
Kuna sehemu mule huyo starling, Tino yupo bafuni na jamaa anamkanda mgongo yaani ni kichefu chefu aisee.
Bora wameipiga ban.
Tatzo lenu watz wagumu kuelewa ndo mana matokeo yanakuwa mabaya watoto wamerith kwenu, ile movi haina ubaya theme yake inakemea ushoga na wala haisapoti! Kazi ya sanaa ni kufundisha,kuonya na kukemea maovu ktk jamii tino ameitendea haki jamii kwa kuionya juu ya tabia ya ushoga kwani ushoga haufanyiki tz? Tatzo 2lilonalo watz ha2pendi kuambiwa ukweli. Bg up tino dnt luz hope de mov soon wl b released, na mapambano yataendelea hao wanaoiponda theme ya movi imewagusa labda nao ni wahanga wa ivyo vitendo na ndo mana wanaogopa movi itawaumbua. Habari ndo iyo.