Muhimbili national hospital wagonjwa wengi wanakufa nenda Mwananyamala hali ni hiyohiyo bila kusahau Temeke hospital
lakini hakuna anayehoji dawa na tiiba zinazotelewa na hospitali hizo kama zinafaa au la.Siri ya kufa anaye Mungu si mwanadamu napendekeza tumwache babu afanye kazi yake kwa binadamu anayependa na kuamini tiba yake.
lakini hakuna anayehoji dawa na tiiba zinazotelewa na hospitali hizo kama zinafaa au la.Siri ya kufa anaye Mungu si mwanadamu napendekeza tumwache babu afanye kazi yake kwa binadamu anayependa na kuamini tiba yake.