Hakuna kudanganyika mkuu mpaka kieleweke safari hii. Who is Shitambala to make them proud to that extent? Mbona mimi sijawahi kumsikia kama naye ni mmoja wa wapambanaji wa Chadema. Ni vyema ameondoka mapema CHADEMA maana inaonekana ndiye aliyekuwa anatumiwa kuficha fomu za wagombea wa CHADEMA mpaka wabunge wa CCM wakapita bila kupingwa kwenye majimbo ya Mwakyusa, Mwandosya n.k. Boga tu hiloNiko hapa Uyole usiku huu huko nje kuna gari linatangaza kuwa kesho kutafanyika mkutano mkubwa wa kumpongeza Shambwe Shitambala kwa kurejea CCM. Wanawahamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi katika mkutano huo
My take: Wanadhani tunadanganyika, wengine kesho kazini kama kawaida tena kesho nitapiga na overtime na Jumamosi asubuhi nipo barabarani kwenye maandamano yatakayoongozwa na Mh.Mbowe.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Mbeya anapokea kadi ya CCM sasa hivi na amemaliza kuongea kuwa Watanzania waiogope sana CHADEMA ni chama cha wahuni na wana uwezo mkubwa wa kufanya fujo na kuzomea! Amesema CHADEMA ni chama cha kikabila na kinaongozwa kwa mtindo wa Kampuni ya Mtu binafsi au kampuni ya kifamilia! Haja mtaja nani mmliki wa CHADEMA ila kasema CHADEMA ina mwneyewe ambaye hasa ndio mwenye kampuni na Dr slaa ni kibarua tu pamoja na wengine! Bado anaendelea kuongea!