Kama kweli alikula rushwa, let him go.
Chadema siyo kichaka cha kutolea haja.
Chama kinakua sasa ( Na mti wenye matunda ndio unaopopolewa mawe) Acha Shitambala apumzike. Amenifurahisha amesema anajiuzuru uongozi na sio anatoka ndani ya chama, hii safi. Pumzika mwenyekiti!