ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
njaa ni adui wa haki, mtu yupo radhi kuwatosa wenzake kwa vipande vya sarafu. watu kama hawa wapo wengi tu na sasa ndiyo muda wa viongozi wasio waadilifu kutimka CHADEMA kwenda CCM kunganga njaa.
Msiogope kwani yeye ni nani? waliondoka kina xxxxxx na CHADEMA ikapeta. kumbukeni chadema ni wito na si mshiko, wanaotaka mishiko nafikiri waondoke mapema sisi tupo kuwatumia wananchi hasa maskini na si vinginevyo.
Tatizo la CCM wanafikiri wanaweza kuua demokrasia kwa kutumia PESA, never ever. Hiyo ni njia ya kupoza maumivu tu ni sawa na mtu unaumwa malaria then unatumia pain killler pills.
Msiogope kwani yeye ni nani? waliondoka kina xxxxxx na CHADEMA ikapeta. kumbukeni chadema ni wito na si mshiko, wanaotaka mishiko nafikiri waondoke mapema sisi tupo kuwatumia wananchi hasa maskini na si vinginevyo.
Tatizo la CCM wanafikiri wanaweza kuua demokrasia kwa kutumia PESA, never ever. Hiyo ni njia ya kupoza maumivu tu ni sawa na mtu unaumwa malaria then unatumia pain killler pills.