Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Mbunge wa bunge la jamuhuri ya muungano ya Tanzania amefariki leo hii katika hospiatali ya taifa ya muhimbili ambako alilazwa kufuatia ajali alopata akiwa anarejea mjini Dodoma kutoka kwenye mazishi ya Kaka wa mkewake. Aidha katika ajali hiyo mke wa mheshimiwa Shirima alipoteza maisha. Mungu ailaze pema roho ya marehemu; Amin